Ulijulia wapi matusi?? Malezi yako ilikuwaje? Kama yalikuwa mema, hutajua kutukanaNever, never, never! Ukinitukana nitakutukana litakalo nijia. Huyu mtu amenitukana out of no reason!
Kutakatisha fedha au kwa lugha ya Malkia ni Money Loundering ni kitendo cha kutumia kwenye uwekezaji au biashara fedha iliyopatikana kwa njia haramu.Kwa kweli wana bodi kuna kitu sikijui naomba anaefahamu anijulishe nini maana ya kutakatisha fedha? Ni kwa namna gani unaweza kusema Fulani ametakatisha fedha?