cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,648
- 5,007
wahurumie mkuuKwa maoni kama haya! Tukisema wasukuma washamba, tunakosea?.
Miaka imebadilika ndugu, sasa tupo kwenye "sciences and technology", hatupo kwenye kuficha ficha mambo kama yule aliefichwa na ardhi muda huu!.
Mawazo ya kizamani sana haya! Badilikeni ndugu zangu! Msiwe na mawazo kama mfalme Juha! Aliyepo mbele ya haki muda huu!
Hiiiiii Bagoshaa! Shame on You!.