Mkurugenzi wa mawasiliano, Ikulu kutoa taarifa ya safari ya mheshimiwa rais kesho, ni kosa

Habarini wana JF,

Nijielekeze kwenye maada, moja kwa moja. Kuna taarifa imetoka kuhusu safari ya mheshimiwa rais, hapo kesho ambapo atakwenda Uganda.

Swala la usalama wa taarifa za ikulu, ni muhimu sana, hususani katika kipindi hichi ambapo rais wetu ni mpya, na kuna maadui wengi tu wa ndani na nje ya nchi ambao, pengine hawakutaka awe rais.

Kutoa taarifa ya safari yake kwa umma, kabla ya yeye kufika Uganda, inaweza toa fursa kwa wenye nia mbaya, kutekeleza nia ovu.

Simuombei mabaya mheshimiwa rais, ila natoa tahadhari tu. Angeweza mtuma mjumbe maalumu kama alivyotumwa Dkt Amina Mohammed leo, kwa niaba ya rais uhuru Kenyatta.
Watanzania wote wenye mapenzi mema, ambao ni karibia wote, ndio walinzi wa Rais wetu, lakini mlinzi mkuu ni Mungu.

Japo anaweza kuwakilishwa lakini kuna umuhimu wa pekee, anapoenda Rais mwenyewe kuliwakilisha Taifa lake. Zaidi atume wawakilishi huko kwenye kufungua masoko, stand, madaraja, n.k. lakini kwenye majadiliano yenye maslahi makubwa kwa nchi yake, aende akazungumze na viongozi wenzake wa kitaifa.
 
Watanzania wote wenye mapenzi mema, ambao ni karibia wote, ndio walinzi wa Rais wetu, lakini mlinzi mkuu ni Mungu.

Japo anaweza kuwakilishwa lakini kuna umuhimu wa pekee, anapoenda Rais mwenyewe kuliwakilisha Taifa lake. Zaidi atume wawakilishi huko kwenye kufungua masoko, stand, madaraja, n.k. lakini kwenye majadiliano yenye maslahi makubwa kwa nchi yake, aende akazungumze na viongozi wenzake wa kitaifa.
Achana na huyu MATAGA mwenye Hangover ya Jiwe!
 
Habarini wana JF,

Nijielekeze kwenye maada, moja kwa moja. Kuna taarifa imetoka kuhusu safari ya mheshimiwa rais, hapo kesho ambapo atakwenda Uganda.

Swala la usalama wa taarifa za ikulu, ni muhimu sana, hususani katika kipindi hichi ambapo rais wetu ni mpya, na kuna maadui wengi tu wa ndani na nje ya nchi ambao, pengine hawakutaka awe rais.

Kutoa taarifa ya safari yake kwa umma, kabla ya yeye kufika Uganda, inaweza toa fursa kwa wenye nia mbaya, kutekeleza nia ovu.

Simuombei mabaya mheshimiwa rais, ila natoa tahadhari tu. Angeweza mtuma mjumbe maalumu kama alivyotumwa Dkt Amina Mohammed leo, kwa niaba ya rais uhuru Kenyatta.
Mlisha zoea upuuzi wa Dikteta uchwara akuzuia habari na kurudi enzi za ujima. Hta alipokuwa mfu mkadanganywa eti yupo ofisini anapekua mafaili ya wafu.
Ujinga ni mzigo.
 
Habarini wana JF,

Nijielekeze kwenye maada, moja kwa moja. Kuna taarifa imetoka kuhusu safari ya mheshimiwa rais, hapo kesho ambapo atakwenda Uganda.

Swala la usalama wa taarifa za ikulu, ni muhimu sana, hususani katika kipindi hichi ambapo rais wetu ni mpya, na kuna maadui wengi tu wa ndani na nje ya nchi ambao, pengine hawakutaka awe rais.

Kutoa taarifa ya safari yake kwa umma, kabla ya yeye kufika Uganda, inaweza toa fursa kwa wenye nia mbaya, kutekeleza nia ovu.

Simuombei mabaya mheshimiwa rais, ila natoa tahadhari tu. Angeweza mtuma mjumbe maalumu kama alivyotumwa Dkt Amina Mohammed leo, kwa niaba ya rais uhuru Kenyatta.
Watu wa usalama wanajua kazi yao...safari za kiongozi sio za kushtukiza..
 
Mwamba Mbowe ni hatari. Yani kamanda kutangaza tu kesho atahutubia taifa mama yetu mpendwa kala kona. Mama usihofu kwa taarifa yako mtu pekee wa kumuamini nchini ambaye atakushauri vizuri ni braza Akaeli. Mtumie ni hazina pekee iliyojitosheleza na ya uhakika.
Mbowe ndo Rais wa nchi kwa sasa hakuna wa kupinga.
 
Yani ni mother nature (mother instinct) lugha yetu ya sisi wasomi. Bado mgeni kwenye urais ile tenshen halafu anamfaham vizuri Braza Akaeli anavyotema na kushusha nondo kaaaliiii zilizoshehen madini ya kutosha. Ndo maana mama yetu mpendwa kala kona. Laiti angemjuwa mwamba just want to extend an olive branch ili awe a helping hand pertaining issues concerning national importance.
Kwani technologia imekufa akiongea si atakuwa anaangalia hata kwa online tv kwani lazima mbowe akiongea mama awepo alipokuwa mbowe
 
Kwani si Museveni alisema March ndio tutamalizia hilo jambo?? Hivyo sio jambo geni lilikua linafahamika kabla, hata angekuwepo Magu angekwenda.
 
Habarini wana JF,

Nijielekeze kwenye maada, moja kwa moja. Kuna taarifa imetoka kuhusu safari ya mheshimiwa rais, hapo kesho ambapo atakwenda Uganda.

Swala la usalama wa taarifa za ikulu, ni muhimu sana, hususani katika kipindi hichi ambapo rais wetu ni mpya, na kuna maadui wengi tu wa ndani na nje ya nchi ambao, pengine hawakutaka awe rais.

Kutoa taarifa ya safari yake kwa umma, kabla ya yeye kufika Uganda, inaweza toa fursa kwa wenye nia mbaya, kutekeleza nia ovu.

Simuombei mabaya mheshimiwa rais, ila natoa tahadhari tu. Angeweza mtuma mjumbe maalumu kama alivyotumwa Dkt Amina Mohammed leo, kwa niaba ya rais uhuru Kenyatta.
Rubbish
 
Huyu fala bado hajakubali kuwa Ikulu ndi byebye ngoja mama arudi atangaze mkurugenzi wake wa Mawasiliano ndi akili itamkaa sawa, jamaa haamini anachokiona na ni mwamba kweli kwenye ndumba nangai ni Kigogo kwa ufupi
 
Kwa maoni kama haya! Tukisema wasukuma washamba, tunakosea?.
Miaka imebadilika ndugu, sasa tupo kwenye "sciences and technology", hatupo kwenye kuficha ficha mambo kama yule aliefichwa na ardhi muda huu!.
Mawazo ya kizamani sana haya! Badilikeni ndugu zangu! Msiwe na mawazo kama mfalme Juha! Aliyepo mbele ya haki muda huu!
Hiiiiii Bagoshaa! Shame on You!.
Umenikumbusha wale walinzi wenye mibunduki mizito mizito duu 'it was a decoration of security'
 
Yani ni mother nature (mother instinct) lugha yetu ya sisi wasomi. Bado mgeni kwenye urais ile tenshen halafu anamfaham vizuri Braza Akaeli anavyotema na kushusha nondo kaaaliiii zilizoshehen madini ya kutosha. Ndo maana mama yetu mpendwa kala kona. Laiti angemjuwa mwamba just want to extend an olive branch ili awe a helping hand pertaining issues concerning national importance.
Nakumbuka alipokuwa tanga alisema kuna safari ya Uganda kusaini kwa ajili ya mradi kuanza na akawataka wazawa wa tanga kuchangamkia fursa sasa unaposema mama anamkimbia mbowe nashindwa kuelewa
 
Nakumbuka alipokuwa tanga alisema kuna safari ya Uganda kusaini kwa ajili ya mradi kuanza na akawataka wazawa wa tanga kuchangamkia fursa sasa unaposema mama anamkimbia mbowe nashindwa kuelewa
Hamna banaaaaa. Ni press conference ya braza Akaeli imemfanya aingie chaka Uganda
 
Back
Top Bottom