Kesi ya Matumizi mabaya ya Madaraka inayomkabili Paulo Makonda inatajwa Leo Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni

Leo tarehe 3/12/2021 inaweza kuwa siku nzuri kwa wapenda haki duniani , baada ya mmoja wa Wasiginaji wa kubwa wa haki hizo kuburuzwa Mahakamani kwa tuhuma kadhaa ikiwemo uvamizi wa kutumia silaha na ulevi wa Madaraka .

Kesi hii iliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Mh Saed Kubenea kwa niaba ya watu wote , inatajwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni .

Bado hatujafahamu kama Mtuhumiwa huyo ataletwa akiwa na Pingu mkononi au la .

Usikae mbali .

View attachment 2031229
Sheria siyo ushabiki kama siasa mzee bali ni utaalamu,kinachokusumbua ni uchochezi na siasa za maji taka.

Utahangaila sana kwenye mitandao juu ya hili tafuta kazi ya kufanya,plz!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kesi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam imetajwa Leo katika mahakama ya wilaya ya kinondoni na hakimu mkazi wa mahakama hiyo kuamuru kufanyiwa marekebisho hati ya mashitaka ili kuondoa udhaifu katika mashitaka yaliyowasilishwa mbele ya mahakama hiyo,
Wengine wanaolalamikiwa katika hati hiyo Ni mkurugenzi wa mashitaka nchini na Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania.
Atupilie mbali upuzi huu. Ni mambo kutaka kuondoa nchi kwenye reli. Makonda kafanya mazuri sana kama kijana mwanamapinduzi wa ccm. Rais samia kuacha kuzuia wahuni kumsumbua ni mfano mbaya sana.
 
Leo tarehe 3/12/2021 inaweza kuwa siku nzuri kwa wapenda haki duniani , baada ya mmoja wa Wasiginaji wa kubwa wa haki hizo kuburuzwa Mahakamani kwa tuhuma kadhaa ikiwemo uvamizi wa kutumia silaha na ulevi wa Madaraka .

Kesi hii iliyofunguliwa na Mbunge wa zamani wa Ubungo Mh Saed Kubenea kwa niaba ya watu wote , inatajwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni .

Bado hatujafahamu kama Mtuhumiwa huyo ataletwa akiwa na Pingu mkononi au la .

Usikae mbali .

View attachment 2031229
Update

Bashite kaletwa Kortin, kasomewa Mashtaka ambayo hayana Dhamana
 
lie mbali upuzi huu. Ni mambo kutaka kuondoa nchi kwenye reli. Makonda kafanya mazuri sana kama kijana mwanamapinduzi wa ccm. Rais samia kuacha kuzuia wahuni kumsumbua ni mfano mbaya sana.

Huyu ni mmoja wa viongozi waliofaidika na kufanikisha utawala wa kidhalimu wa Magufuli ndani ya nchi hii. Ni vizuri afungwe ili kuepusha nchi yetu kuja kutawaliwa kwa uvunjwaji mkubwa wa sheria kama wakati wa Magufuli. Makonda alishiriki kupanga kuteka watu, kuwaua na unyama mwingine mkubwa kama huo, ikiwemo kupora fedha za wafanyabishara, kwa kushirikiana na kundi la watu wasiojulikana kwa baraka za Magufuli. Anaweza kusalimika sasa maana CCM bado ipo madarakani kwa shuruti, ila CCM iking'olewa madarakani kwa machafuko, ni lazima afungwe kifungo cha maisha, kwani tuna ushahidi wa uharamia wake.
 
Kesi ya aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salam imetajwa Leo katika mahakama ya wilaya ya Kinondoni na hakimu mkazi wa mahakama hiyo kuamuru kufanyiwa marekebisho hati ya mashitaka ili kuondoa udhaifu katika mashitaka yaliyowasilishwa mbele ya mahakama hiyo.

Wengine wanaolalamikiwa katika hati hiyo Ni mkurugenzi wa mashitaka nchini na Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania.
Safi sana Makonda alikuwa Mtoto wa MUNGU MTU wa TANZANIA
 
Hii inaitwa sensationalism, na imesababishwa na gazeti la Raia Mwema kudanganya watu kuna kesi. Ukweli ni kuwa, hakuna kesi yoyote, iliyofunguliwa mahakama yoyote, kumhusu Paul Makonda!.

Kilichopo ni Kubenea anaomba kibali cha mahakama, imruhusu kufungua kesi ya jinai ya Makonda dhidi ya uvamizi wa Clouds media.

Nasema hakuna kesi yoyote hapo kwasababu kuathirika na uvamizi huo, Clouds hajalalamika popote, hivyo who is Kubenea?. What has uvamizi wa Makonda Clouds Media got to do with Kubenea?. Hili ombi la Kubenea, limekosa kitu cha kisheria kinachoitwa "locus stand".

Kubenea angeonekana wa maana, na wengi wangemuunga mkono kama angeomba kuendesha kesi ya shambulio la Lissu.

Hapa kwa Makonda, Kube is just wasting his time, money and resources, ila kwa vile lengo lake halisi la sio kumshitaki Makonda, bali ni attention seeking, hii ataipata.

P
hivi mwenda zake alisema mayalla maana yake nini vile?
 
Kama wahusika hawaoneshi kutoa ushieikiano hili suala. Makonda atashinda kesi. Halafu aliyemfungulia kesi atatfuta pa kuiweka sura yake.
 
Wengine wanaolalamikiwa katika hati hiyo ni mkurugenzi wa mashitaka nchini na Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania.
hawa jamaa hawana muda na kesi za namna hiyo, wapo kisiasa zaidi kuhakikisha MH. BOWE anakula mvua za kutosha ili iwe fundisho kwa wanasiasa wengine wa upinzani nchini.
 
Kwenye sheria ulifeli miserably, umebakia kuwa a spent cartridge pen pusher!
Mkuu MTK , you are very wrong on me na sheria. Sikusoma sheria ili niwe wakili, nilisoma sheria just to be knowledgeable. LL.B yangu ni LL.B (hons) ya UDSM, mtu kupata LL.B hons ya UDSM, sio shughuli, ndogo, ni uthibitisho kwenye medulla oblongata yangu, kuna something na sio an empty shell. Tatizo la sheria, wale wenye 1st class ndio the poorest of the poor, hawashindi kesi yoyote mahakamani, hivyo the best they could do ni kuwa waalimu wa chuo au kusubiria teuzi mbalimbali.

Mimi kwa upande wangu na sheria, kosa langu ni moja tuu, mimi ni Nyerere type, kwangu mimi pesa sio msingi, bali ni matokeo tuu. Kwa vile nilisoma sheria huku nikiwa mwandishi, hata baada ya kuhitimu, sikuwahi kuifuata LL.B yangu pale UDSM, niichukue for what wakati siitumii. Japo sheria ina pesa zaidi, kuliko uandishi, mimi nimetokea kuupenda uandishi kuliko sheria, ila kwa vile mimi ni mtoto wa hapa hapa mjini, nimezaliwa mjini, nimesomea mjini na ninaishi hapa hapa town, nikiamua ku petition kuwa wakili, anytime, pia pitapiga tuu fungu, kama kwenye uandishi mambo ni magumu hivi na mimi nimeweza kudumu for 30 years, nikiamua kugeukia sheria ambayo ni msesereko, si nitazikomba sana tuu?, hivyo kuniambia sheria nilifeli, kwasababu tuu sio wakili sio kunitendea haki.
Ukiwa na good brain, its like you have a Midas touch, everything you touch, turns to ...
P
 
Hivi hati ya mashtaka ikiwa na udhaifu haitakiwi kutupiliwa mbali?......
... ingekuwa wenye mashtaka ni Chadema hati ingetupiliwa mbali dakika ile ile with immediate effect! Tena polisi wangewatawanya haraka sana kutoka viunga vya mahakama na makumi kadhaa wangepandishwa karandinga tayari kwa safari ya Segerea.
 
Kwenye sheria ulifeli miserably, umebakia kuwa a spent cartridge pen pusher!
Mkuu MTK , you are very wrong on me na sheria. Sikusoma sheria ili niwe wakili, nilisoma sheria just to be knowledgeable. LL.B yangu ni LL.B (hons) ya UDSM, mtu kupata LL.B hons ya UDSM, sio shughuli, ndogo, ni uthibitisho kwenye medulla oblongata yangu, kuna something na sio an empty shell. Tatizo la sheria, wale wenye 1st class ndio the poorest of the poor, hawashindi kesi yoyote mahakamani, hivyo the best they could do ni kuwa waalimu wa chuo au kusubiria teuzi mbalimbali.

Mimi kwa upande wangu na sheria, kosa langu ni moja tuu, mimi ni Nyerere type, kwangu mimi pesa sio msingi, bali ni matokeo tuu. Kwa vile nilisoma sheria huku nikiwa mwandishi, hata baada ya kuhitimu, sikuwahi kuifuata LL.B yangu pale UDSM, niichukue for what wakati siitumii. Japo sheria ina pesa zaidi, kuliko uandishi, mimi nimetokea kuupenda uandishi kuliko sheria, ila kwa vile mimi ni mtoto wa hapa hapa mjini, nimezaliwa mjini, nimesomea mjini na ninaishi hapa hapa town, nikiamua ku petition kuwa wakili, anytime, pia pitapiga tuu fungu, kama kwenye uandishi mambo ni magumu hivi na mimi nimeweza kudumu for 30 years, nikiamua kugeukia sheria ambayo ni msesereko, si nitazikomba sana tuu?, hivyo kuniambia sheria nilifeli, kwasababu tuu sio wakili sio kunitendea haki.
Ukiwa na good brain, its like you have a Midas touch, everything you touch, turns to ...
P
 
Huyu ni mmoja wa viongozi waliofaidika na kufanikisha utawala wa kidhalimu wa Magufuli ndani ya nchi hii. Ni vizuri afungwe ili kuepusha nchi yetu kuja kutawaliwa kwa uvunjwaji mkubwa wa sheria kama wakati wa Magufuli. Makonda alishiriki kupanga kuteka watu, kuwaua na unyama mwingine mkubwa kama huo, ikiwemo kupora fedha za wafanyabishara, kwa kushirikiana na kundi la watu wasiojulikana kwa baraka za Magufuli. Anaweza kusalimika sasa maana CCM bado ipo madarakani kwa shuruti, ila CCM iking'olewa madarakani kwa machafuko, ni lazima afungwe kifungo cha maisha, kwani tuna ushahidi wa uharamia wake.
Ni sawa kabisa kama inavyotakiwa gaidi afungwe
 
Back
Top Bottom