Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke aache kutisha na kufedhehesha Waandishi wa Habari

Huyo Gondwe uliyempelekea kopi hana mamlaka yoyote kwa DED, mwenzake alifanikisha wizi wa kura Kakonko, sasa yeye ukabila tu ndio unambeba, atafanyaje?
Tujisahaulishe Kakonko, tarehe 28 October, kuna kitu kilifanyika Tanzania!
 
Sio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .

Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .

Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.

Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .

So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
Umejitetea kihivi au?
 
Hata kama anayeongea nae si mwandishi hakutakiwa kumshusha kiasi hicho - DED ni mtumshi wa wananchi ktk halmashauri yake
 
Jana wakati nafuatilia taarifa ya habari ITV saa mbili usiku niliona mgogoro ulipo katika kiwanja mojawapo kilichopo Yombo wilaya ya Temeke lakini wakati mwandishi wa habari anatafuta ukweli wa jambo hilo alipojaribu kumpigia simu Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke ajulikanaye kwa jina la Lusubilo Mwakabibi nataka ufafanuzi wa mgogoro huo kwa kuomba nafasi ya kuonana naye ofisi kwake aliishia kujibiwa kuwa huyo mwandishi hana hadhi ya kuonana naye! Swali ni je wenye hadhi ya kuonana na viongozi hawa ni waandishi wa namna gani?
Wenye hadhi ni waandishi wa TISS tu wengine subirini mta kopi pest habari kutoka kwa wandishi ambao nyuma ya pazia ni ile mbeleko ya usalama
 
Kama ni kweli basi huyu Lusubilo Mwakabibi atakua amepoteza hadhi ya kuwa mkurugenzi sasa
Halafu kitu cha kawaida sana alichoulizwa kwanini amepanick kama mwizi?

Maendeleo hayana vyama
Afisa kipeuo nyinyi si mlisema mmeboresha nidhamu ya watumishi wa umma ?Mimi muda si mrefu nimetoka kwa mkurugenzi mwingine anatoka ofisini anafunga mlango anaondoka tumekaa kwenye benchi hata tulipomsalimia ili tujue anarudi au vipi hakuitika akaondoka zake , akatuacha waunga mkono juhudi tunatoa macho .
 
Afisa kipeuo nyinyi si mlisema mmeboresha nidhamu ya watumishi wa umma ?
Hakuna pasipokua na mapungufu mkuu hata watoto wako nyumbani hawafanani tabia, hata nyie mlivyozaliwa kwenu hamfanani.... halafu utofauti sio sawa na ukibaraka
 
Kama ni kweli basi huyu Lusubilo Mwakabibi atakua amepoteza hadhi ya kuwa mkurugenzi sasa
Halafu kitu cha kawaida sana alichoulizwa kwanini amepanick kama mwizi?

Maendeleo hayana vyama

Nyumba ndogo zikizidi 😂😂😂😂😂
 
We unakaa tumboni kwake ndo umjue kwamba hana njaa?!
Macho hayadanganyi ,mtu mwenye njaa na asiyekuwa na njaa anaonekan a tu .

Kiukwel jamaa kamkosea sana huyo mwandishi na Hilo halikubaliki kabisa kwa kiongozi wa ngaz Kama hiyo .

Nilichojaribu kusema hana njaa baada ya mdau kusema vimshahara kidogo vimemchanganya pia kadai ana njaa ndipo nam nikamwambia jamaa hana njaaa kabisa na hata akitemwa Leo ana uhakika wa kuishi vzr maisha yake yote yaliobak hapa dunian ,nadhan maana yangu ilikuwa hivyo na sio kumtetea kwa ujinga alioufanya .

Pia nimeeleza vzr kuwa huyo jamaa Ni hulka yake kuropoka hovyo maana tunaotoka nae sehem moja tunamjua kwa kiasi chake.
 
kutokuwa na njaa kwake ndio kuhalalishe kudharau waandishi? Kama mwandishi ambae anahitaji maelezo tu anajibiwa hivyo, je mwananchi mwenye shida atajibiwa nini?
Na hapo hakuna utani. Utani hufanywa kwa mtu unaemjua, mtu humjui utamtaniaje? Pia kwenye kazi huwa hakuna dhihaka. Huyo jamaa yako unaedai unamjua sana (kama sio wewe mwenyewe DED unajaribu kujisafisha) ni mlevi wa madaraka tu ambae keshajimithilisha na mungu mtu.
Sheria ya kwanza ya uongozi bora ni kumchukulia mfagiaji na meneja mkuu kwa heshima moja, sio kumpa mtu heshima kwa kulingana na hadhi yake.
Fuatilia vzr maandish yangu hakuna nilipomtetea kwa jambo la kumshusha huyo mwandishi ,nami nimekemea kuwa jamaa kakosea sana tu.

Zaid nimetoa ufafanuz kuhusu huyu mtu kuwa ana hulka hiyo ya kuropoka hovyo.

Kuna mdau kadai ana njaa ndipo nikamwambia jamaa hana njaa hata siku moja na haitakuja tokea akawa na njaa maana namjua kwa kias chake coz natoka nae sehem moja .

Jamaa Ni mropokaj ,mpenda sifa sana ,utani mwingi ,pia Ni mtu wa watu sana ,kuishi na huyo jamaa lazima umzoee sana Tena sana maana haelewek kama mvua za vuli.

Narudia Tena hakuna nilipomtetea kwa kitendo alichofanya hata mm sijapendezwa nacho ,kamkosea sana huyo mwandishi
 
Macho hayadanganyi ,mtu mwenye njaa na asiyekuwa na njaa anaonekan a tu .

Kiukwel jamaa kamkosea sana huyo mwandishi na Hilo halikubaliki kabisa kwa kiongozi wa ngaz Kama hiyo .

Nilichojaribu kusema hana njaa baada ya mdau kusema vimshahara kidogo vimemchanganya pia kadai ana njaa ndipo nam nikamwambia jamaa hana njaaa kabisa na hata akitemwa Leo ana uhakika wa kuishi vzr maisha yake yote yaliobak hapa dunian ,nadhan maana yangu ilikuwa hivyo na sio kumtetea kwa ujinga alioufanya .

Pia nimeeleza vzr kuwa huyo jamaa Ni hulka yake kuropoka hovyo maana tunaotoka nae sehem moja tunamjua kwa kiasi chake.
Njaa ama kutokua na njaa nimentality! Kuna watu wana kila kitu lakini ni masikini wa kutupwa, moyoni! Huwezi kusema Mtu hana njaa kwa vile unaona ana magari na manyumba afu useme hana njaa!
 
Njaa ama kutokua na njaa nimentality! Kuna watu wana kila kitu lakini ni masikini wa kutupwa, moyoni! Huwezi kusema Mtu hana njaa kwa vile unaona ana magari na manyumba afu useme hana njaa!
Yaan uwe na kila kitu alaf uwe maskin wa kutupwaBasi sawa ndugu
 
Yaan uwe na kila kitu alaf uwe maskin wa kutupwaBasi sawa ndugu
Angekuwa hana njaa asingekubali kuwa DED bwana, wasio na njaa hawagangi njaa na U-DED... kama anajiweza hata akiacha kazi leo, si aache basi. Anasugua gaga kum-please mkulu kila siku unasema hana njaa, da!
 
Kusema kweli yule dogo mhandishi wa habari alitakiwa kwanza awasiliane na mkuu wake wa kitengo
Kule ofisini kwake ndio wangemtafuta mkurugenzi
Shida ya dogo kakurupuka kumpigia mkurugenzi wakati bado hadhi yake ndogo
Ushasikia wapi akina Abdallah Mwaipaya wamejibiwa mbovu
Hapo ilikuwa Deogratias Rweyunga au yule mama mwenyewe wampe taarifa mkurugenzi kuna mwanahabari wetu atakuja ofisini kwako kuna mambo unatakiwa kuyaweka sawa

Sasa dogo anataka kuwaiga akina Samsasali na babbie kabae
 
Angekuwa hana njaa asingekubali kuwa DED bwana, wasio na njaa hawagangi njaa na U-DED... kama anajiweza hata akiacha kazi leo, si aache basi. Anasugua gaga kum-please mkulu kila siku unasema hana njaa, da!
Kwan aliandika barua ya kuomba huo U DED?

Ndio maana nimekwambia yupo hapo kwa sabab maalum Ni wachache watanielewa ila ww huwez kuelewa ,na narudia Tena huyo jamaa hana njaaa Kama unavyowaza hapa
 
Sio kweli huyo jamaa pesa anayokitambo tu na sio mtu wa njaa sema Ni amezaliwa hivyo Ni mtu mpenda sifa na utani wa hapa na pale .

Namjua kwa kias chake coz tunatoka sehem moja huko Budokelo -Mbeya .

Kwanza jamaa wanadai Ni kitengo.

Pia huyu jamaa kudhihirisha kuwa hana njaa huko kijijin kwao amejenga bonge moja la bangaloo Ni hatar na nusu .

So elewa jamaa hana njaa kabisa wala hawez kulewa kamshahara ka Uded so uelewe jamaa ndivyo alivyo zaliwa ,utani mwingi ,vituko vya hapa na pale ,sifa za hapa na pale ,pia Ni mtu wa watu sana hana shida.
Kama Hana shida, Anafanya nini katika ofisi ya umma ?
 
Back
Top Bottom