Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Tujisahaulishe Kakonko, tarehe 28 October, kuna kitu kilifanyika Tanzania!Huyo Gondwe uliyempelekea kopi hana mamlaka yoyote kwa DED, mwenzake alifanikisha wizi wa kura Kakonko, sasa yeye ukabila tu ndio unambeba, atafanyaje?