Mzee Mchopu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,031
- 268
Wanabodi
Sina budi kulieleza hili kiunaga ubaga
Kwa kile kinachoonekana ni mazingira ya kununua madiwan
Au kutengeneza mkakati haramu kwa Chama cha mapinduzi kushirikiana na Baadhi ya watendaji wasio waaminifu kama huyu mkurugenzi
Ambae binafsi namuona ni jipu lililoiva
Jana niliripoti uchaguzi wa kumpata meya na naibu meya wa manispaa ya ilala kuahirishwa
Na sasa leo hii kwa mara nyingine ameuhairisha uchaguzi wa kumpata meya wa ILALA na mbaya zaidi hajatoa tarehe nyingine muakada kwa ajili ya kufanyab uchaguzi huo
Na wale wasojua
Manispaa ya ILALA INA MADIWANI 66
CCM =31
CHADEMA =28
CUF=07
BADO SJAJUA HOFU YAO CCM inatoka wapi
Au ni tukio gani wamelipanga lifanyike ama eidha kupoka haki ya UKAWA
My take
WAZIRI MKUU LIONE HILI KAMA NI TATIZO la kiuongozi
Lishughulikiwe mapema
Kazi ianze wananchi tuna mategemeo makubwa toka kwa wale tulowachagu
Wasikwamishwe
Tuliridhia mfumo wa vyama vingi
Sina budi kulieleza hili kiunaga ubaga
Kwa kile kinachoonekana ni mazingira ya kununua madiwan
Au kutengeneza mkakati haramu kwa Chama cha mapinduzi kushirikiana na Baadhi ya watendaji wasio waaminifu kama huyu mkurugenzi
Ambae binafsi namuona ni jipu lililoiva
Jana niliripoti uchaguzi wa kumpata meya na naibu meya wa manispaa ya ilala kuahirishwa
Na sasa leo hii kwa mara nyingine ameuhairisha uchaguzi wa kumpata meya wa ILALA na mbaya zaidi hajatoa tarehe nyingine muakada kwa ajili ya kufanyab uchaguzi huo
Na wale wasojua
Manispaa ya ILALA INA MADIWANI 66
CCM =31
CHADEMA =28
CUF=07
BADO SJAJUA HOFU YAO CCM inatoka wapi
Au ni tukio gani wamelipanga lifanyike ama eidha kupoka haki ya UKAWA
My take
WAZIRI MKUU LIONE HILI KAMA NI TATIZO la kiuongozi
Lishughulikiwe mapema
Kazi ianze wananchi tuna mategemeo makubwa toka kwa wale tulowachagu
Wasikwamishwe
Tuliridhia mfumo wa vyama vingi