Shigganza
Senior Member
- May 24, 2018
- 160
- 412
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Nchini (TPA), Deusdedith Kakoko ameeleza kwamba mradi wa ujenzi wa Bandari Bagamoyo haukuwa na tija kwa taifa na ungeenda kuifilisi na kuiuza Nchi kutokana na vipengele vya kinyonyaji ambavyo wawekezaji walitaka viwekwe kwenye mkataba na Serikali ilipopendeza kuwepo kwa win win situation wanaonekana kutokuwa tayri
Baadhi ya masharti hayo ya kinyonyaji ni pamoja na:
## Kupewa uhuru wa kujipangia bei za kutoza watakao safirisha mizigo kupitia bandari hiyo.
##Kusamehewa kodi na Ushuru mbalimbali ikiwemo zilizopo kisheria
## Kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara katika hesabu watakazofanya wenyewe.
Baadhi ya masharti hayo ya kinyonyaji ni pamoja na:
## Kupewa uhuru wa kujipangia bei za kutoza watakao safirisha mizigo kupitia bandari hiyo.
##Kusamehewa kodi na Ushuru mbalimbali ikiwemo zilizopo kisheria
## Kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara katika hesabu watakazofanya wenyewe.