Huwezi kumchafua mtu mchafu.Waandishi waache hadaa kazi yao ni kukata clips ili kumchafua mtu.
Halafu wana uroho wa fedha ndogo sana yaani elfu 30 tu wanaweza mchafulia mtu hatari
Aliyejinyea lazima yamnuke.
Huwezi kumchafua mtu mchafu.Waandishi waache hadaa kazi yao ni kukata clips ili kumchafua mtu.
Halafu wana uroho wa fedha ndogo sana yaani elfu 30 tu wanaweza mchafulia mtu hatari
Wanaiga Bunge la jamuhuri.Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Pima, kupitia afisa habari wake Mary Mwita, amekuwa mtu wa kwanza kuwawekea vikwazo waandishi wa habari kwa kuwazuia wasirekodi kitu chochote katika baraza la madiwani jijini humo.
Kupitia kwa Afisa habari wake Mary Mwita Dk Pima amesema kitendo cha waandishi wa habari kurekodi kinachoendelea katika baraza la madiwani ni kuwasumbua viongozi hao,na badala yake waandishi watachukua picha na sauti kutoka katika kamera ya mwandishi wake kwa kumfuata ofisini kwake
Uamuzi huo wa pima umetolewa ikiwa imepita siku moja tokea waziri mkuu kutoa onyo kwa viongozi wa serikali na watendaji wake kuwabughudhi waandishi pale wanapofanya kazi zao
Ila Kiukwel pm wetu anakutana na amekutana na majaribu mengi sana n muda wake wa kuonesha mamlaka yake Sasa asiwe mwoga
Waliomsumbua huyu pm wetu
Makonda ... Ishu ya nape
Sabaya ... Ishu ya mama mghwila
Mfugale ... Daraja morogoro
Ukiwa mwalimu kwenye private school epuka sana kumuadhibu mtoto wa mwenye shule especially Kama mama wa huyo mtoto Ni mwanamke wa kiswahili.Ukinikumbusha issue ya Makonda na Daraja morogoro ni aibu kubwa sanaa.
Waandishi waache hadaa kazi yao ni kukata clips ili kumchafua mtu.
Halafu wana uroho wa fedha ndogo sana yaani elfu 30 tu wanaweza mchafulia mtu hatari
ni hulka yangu kutetea kwelikwan kuna nn hasa kikaoni mpaka waogope uwepo wa waandishi wa hbr? Usiwe unatetea kila kitu
Azuia wasirekodiazuia waandishi wasirekodi
Sheria inasemaje kuhusu wanahabari kurekodi matukio kwenye mabaraza ya madiwaniMkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Pima, kupitia afisa habari wake Mary Mwita, amekuwa mtu wa kwanza kuwawekea vikwazo waandishi wa habari kwa kuwazuia wasirekodi kitu chochote katika baraza la madiwani jijini humo.
Kupitia kwa Afisa habari wake Mary Mwita Dk Pima amesema kitendo cha waandishi wa habari kurekodi kinachoendelea katika baraza la madiwani ni kuwasumbua viongozi hao,na badala yake waandishi watachukua picha na sauti kutoka katika kamera ya mwandishi wake kwa kumfuata ofisini kwake
Uamuzi huo wa pima umetolewa ikiwa imepita siku moja tokea waziri mkuu kutoa onyo kwa viongozi wa serikali na watendaji wake kuwabughudhi waandishi pale wanapofanya kazi zao
Mkutano wa baraza la madiwani ni wa wazi, wananchi wote wanaopenda wanaruhusiwa kuhudhuria na pia unaruhusu maswali ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi kwenda kwa MEYA. Unaweza kurushwa kwenye live TV, sasa kama vyote hivi vinaruhusiwa, unazuiaje waandishi wa habari? Ushamba na kukanyaga kanuniKwani yeye ni Mkiti wa kikao cha madiwani?
Je sheria na kanuni zinasemaje kuhusu waandishi wa habari kwa wawakilishi wa wananchi.
Wizara ya TAMISEMI irudishwe kuwa chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Jiwe aliiwekwa chini ya ofisi yake kwa mtazamo wake wa kuwa TAMISEMI kuna majizi sana, matokeo akashindwa kuisimamia ipasavyo hii wizara, Rais SSH ikikupendeza irudishe Wizara hii chini ya ofisi ya PM, usimamizi utakuwa makini na akili zitawakaa sawa hawa WakurugenziIla Kiukwel pm wetu anakutana na amekutana na majaribu mengi sana n muda wake wa kuonesha mamlaka yake Sasa asiwe mwoga
Waliomsumbua huyu pm wetu
Makonda ... Ishu ya nape
Sabaya ... Ishu ya mama mghwila
Mfugale ... Daraja morogoro
Zinaruhusu, mkutano ni wa waziSheria inasemaje kuhusu wanahabari kurekodi matukio kwenye mabaraza ya madiwani
Sasa huyo mary mwita yeye mwenyewe ni mwandishi wa habari,marehemu mumewe alikuwa mwandishi wa habari,tena wote waneishi hapo arusha,inakuwahe hanshauri vizuri pimaMkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Pima, kupitia afisa habari wake Mary Mwita, amekuwa mtu wa kwanza kuwawekea vikwazo waandishi wa habari kwa kuwazuia wasirekodi kitu chochote katika baraza la madiwani jijini humo.
Kupitia kwa Afisa habari wake Mary Mwita Dk Pima amesema kitendo cha waandishi wa habari kurekodi kinachoendelea katika baraza la madiwani ni kuwasumbua viongozi hao,na badala yake waandishi watachukua picha na sauti kutoka katika kamera ya mwandishi wake kwa kumfuata ofisini kwake
Uamuzi huo wa pima umetolewa ikiwa imepita siku moja tokea waziri mkuu kutoa onyo kwa viongozi wa serikali na watendaji wake kuwabughudhi waandishi pale wanapofanya kazi zao
Anaficha nini? bungeni waandishi wapo mbona wabunge hawapati usumbufuMkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Pima, kupitia afisa habari wake Mary Mwita, amekuwa mtu wa kwanza kuwawekea vikwazo waandishi wa habari kwa kuwazuia wasirekodi kitu chochote katika baraza la madiwani jijini humo.
Kupitia kwa Afisa habari wake Mary Mwita Dk Pima amesema kitendo cha waandishi wa habari kurekodi kinachoendelea katika baraza la madiwani ni kuwasumbua viongozi hao,na badala yake waandishi watachukua picha na sauti kutoka katika kamera ya mwandishi wake kwa kumfuata ofisini kwake.
Uamuzi huo wa Pima umetolewa ikiwa imepita siku moja tokea Waziri Mkuu kutoa onyo kwa viongozi wa Serikali na watendaji wake kuwabughudhi waandishi pale wanapofanya kazi zao.
Aiseee 🤣ni hulka yangu kutetea kweli
Miruzi Mingi Humpoteza MbwaKazi ipo Waziri Mkuu anaongea hivi mkurugenzi anakuja na yake...
NiiceMkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Pima, kupitia afisa habari wake Mary Mwita, amekuwa mtu wa kwanza kuwawekea vikwazo waandishi wa habari kwa kuwazuia wasirekodi kitu chochote katika baraza la madiwani jijini humo.
Kupitia kwa Afisa habari wake Mary Mwita Dk Pima amesema kitendo cha waandishi wa habari kurekodi kinachoendelea katika baraza la madiwani ni kuwasumbua viongozi hao,na badala yake waandishi watachukua picha na sauti kutoka katika kamera ya mwandishi wake kwa kumfuata ofisini kwake.
Uamuzi huo wa Pima umetolewa ikiwa imepita siku moja tokea Waziri Mkuu kutoa onyo kwa viongozi wa Serikali na watendaji wake kuwabughudhi waandishi pale wanapofanya kazi zao.