mpandaone
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 478
- 255
Mimi mwananchi wa kawaida wa Mpanga Mrimba Halmashauri ya wilaya ya Kilombero.
Kero yangu juu ya huyu Mkurugenzi wa Halmashauri ni kikao chama diwani kilipiga kura kwa pamoja kiliamua Makao Makuu ya Halmashauri yatahamia Mngeta ambayo yatakuwa katikati kwa sisi wananchi tunaotoka mbali.
Yeye kwa kuangalia biashara zake zilipo Ifakara mjini analazimisha makao makuu yajengwe Tosamaganga Kilometa 10 kutoka Ifakara mjini ambapo kuna mamlaka ya mjimdogo,
Kumbuka madiwani waliamua kwa kupiga kura kwa kuangalia maslahi ya wananchi nakusogeza huduma kwa jamii tunakuomba mkurugenzi acha ubinafsi angalia maslahi ya wananchi
Kero yangu juu ya huyu Mkurugenzi wa Halmashauri ni kikao chama diwani kilipiga kura kwa pamoja kiliamua Makao Makuu ya Halmashauri yatahamia Mngeta ambayo yatakuwa katikati kwa sisi wananchi tunaotoka mbali.
Yeye kwa kuangalia biashara zake zilipo Ifakara mjini analazimisha makao makuu yajengwe Tosamaganga Kilometa 10 kutoka Ifakara mjini ambapo kuna mamlaka ya mjimdogo,
Kumbuka madiwani waliamua kwa kupiga kura kwa kuangalia maslahi ya wananchi nakusogeza huduma kwa jamii tunakuomba mkurugenzi acha ubinafsi angalia maslahi ya wananchi