Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya igunga kupandishwa cheo kwa kazi nzuri ya kuchakachua

zamlock

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
3,840
657
KWA HABARI NILIZOPATA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya igunga ni kwamba katika mazungumzo yao alikuwa akisema hali ya igunga ilikuwa mbaya sana hasa kwenye sakata zima la uchaguzi huu uliopita na inavyosemekana kama ccm isingeshinda jamaa alikuwa abebe vilago vyake kwa sababu asingekuwa na kazi kabisa.

Kwa mjibu wa maelezo yake ni kwamba hali ilikuwa tete sana kwa ccm kwa sababu inasemekana walikuwa wakikaa na kujadili juu ya chadema kuja igunga kwa muda mfupi na kukubalika kwa kiasi kikubwa sana na nguvu waliyokuwa nayo chadema hakika ccm ilikuwa ni pigo kwao kwa sababu walishindwa wafanye nini na ahadi iliyopo saizi kwa mkurugenzi ni muda wowote kupandishwa cheo kulingana na kazi aliyoifanya kwa kupola haki za wana Igunga.

Hizo ndizo habari nilizopata kutoka kwa mtu wakaribu na mkurugenzi sasa yetu macho juu ya zawadi atakayo pewa na mwenye habari zaidi atuweke hapa tushirikiane kujadili hili.
 
kama ni kweli kwa hali niliyoisikia ccm haikubaliki kabisa igunga mjini huyo bwana kafumu atapata shida kama mbunge wa shinyanga jamaa hakubaliki hadi inatia huruma kwa kafumu itakuwa rahisi maana sidhani kama atakaa igunga.mambo ya kulazimisha ni mabaya sana na hawa wakurugenzi sehemu nyingi wamenyima watu haki zao.
 
Yale ya yale Col. Massawe, Karagwe na sasa mkuu wa mkoa wa Kagera. Kwa serikali na CCM na uongozi wa JK kila kitu kinawezekana.
 
Haya tutege masikio tuone yapi yatajiri maana JK na CCM hawana haya kabisa .
 
Peleka umbea wako huko nyie ndio mmesababisha Chadema iangukie pua Igunga kwa kuleta kila siku post za kushabikia badala ya kueleza hali halisi ya Igunga! Watu wakajua kweli CCM iko hoi kumbe umbea umbea tu!
 
Mh! Ninamashaka na hii habari, ngoja niendelee kutazama matangazo ya vifo tbc, nitarudi tena
 
KWA HABARI NILIZOPATA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya igunga ni kwamba katika mazungumzo yao alikuwa akisema hali ya igunga ilikuwa mbaya sana hasa kwenye sakata zima la uchaguzi huu uliopita na inavyosemekana kama ccm isingeshinda jamaa alikuwa abebe vilago vyake kwa sababu asingekuwa na kazi kabisa.

Kwa mjibu wa maelezo yake ni kwamba hali ilikuwa tete sana kwa ccm kwa sababu inasemekana walikuwa wakikaa na kujadili juu ya chadema kuja igunga kwa muda mfupi na kukubalika kwa kiasi kikubwa sana na nguvu waliyokuwa nayo chadema hakika ccm ilikuwa ni pigo kwao kwa sababu walishindwa wafanye nini na ahadi iliyopo saizi kwa mkurugenzi ni muda wowote kupandishwa cheo kulingana na kazi aliyoifanya kwa kupola haki za wana Igunga.

Hizo ndizo habari nilizopata kutoka kwa mtu wakaribu na mkurugenzi sasa yetu macho juu ya zawadi atakayo pewa na mwenye habari zaidi atuweke hapa tushirikiane kujadili hili.
Kumbe sasa tumefunguka macho kazi za wakurugenzi wa maendeleo wilaya mikoa na wakuu wamikoa na wilaya kazi zao hasa ni kuhakikisha CCM idumu madarakani??????????? Kazi tunayo!!!!!!!!!!!
 
KWA HABARI NILIZOPATA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya igunga ni kwamba katika mazungumzo yao alikuwa akisema hali ya igunga ilikuwa mbaya sana hasa kwenye sakata zima la uchaguzi huu uliopita na inavyosemekana kama ccm isingeshinda jamaa alikuwa abebe vilago vyake kwa sababu asingekuwa na kazi kabisa.

Kwa mjibu wa maelezo yake ni kwamba hali ilikuwa tete sana kwa ccm kwa sababu inasemekana walikuwa wakikaa na kujadili juu ya chadema kuja igunga kwa muda mfupi na kukubalika kwa kiasi kikubwa sana na nguvu waliyokuwa nayo chadema hakika ccm ilikuwa ni pigo kwao kwa sababu walishindwa wafanye nini na ahadi iliyopo saizi kwa mkurugenzi ni muda wowote kupandishwa cheo kulingana na kazi aliyoifanya kwa kupola haki za wana Igunga.

Hizo ndizo habari nilizopata kutoka kwa mtu wakaribu na mkurugenzi sasa yetu macho juu ya zawadi atakayo pewa na mwenye habari zaidi atuweke hapa tushirikiane kujadili hili.

Kama ni kweli,basi Tanzania tunayoitaka kwa Watanzania wengi masikini basi itakuwa mbali sana kuifikia.
 
Back
Top Bottom