KWA HABARI NILIZOPATA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya igunga ni kwamba katika mazungumzo yao alikuwa akisema hali ya igunga ilikuwa mbaya sana hasa kwenye sakata zima la uchaguzi huu uliopita na inavyosemekana kama ccm isingeshinda jamaa alikuwa abebe vilago vyake kwa sababu asingekuwa na kazi kabisa.
Kwa mjibu wa maelezo yake ni kwamba hali ilikuwa tete sana kwa ccm kwa sababu inasemekana walikuwa wakikaa na kujadili juu ya chadema kuja igunga kwa muda mfupi na kukubalika kwa kiasi kikubwa sana na nguvu waliyokuwa nayo chadema hakika ccm ilikuwa ni pigo kwao kwa sababu walishindwa wafanye nini na ahadi iliyopo saizi kwa mkurugenzi ni muda wowote kupandishwa cheo kulingana na kazi aliyoifanya kwa kupola haki za wana Igunga.
Hizo ndizo habari nilizopata kutoka kwa mtu wakaribu na mkurugenzi sasa yetu macho juu ya zawadi atakayo pewa na mwenye habari zaidi atuweke hapa tushirikiane kujadili hili.
Kwa mjibu wa maelezo yake ni kwamba hali ilikuwa tete sana kwa ccm kwa sababu inasemekana walikuwa wakikaa na kujadili juu ya chadema kuja igunga kwa muda mfupi na kukubalika kwa kiasi kikubwa sana na nguvu waliyokuwa nayo chadema hakika ccm ilikuwa ni pigo kwao kwa sababu walishindwa wafanye nini na ahadi iliyopo saizi kwa mkurugenzi ni muda wowote kupandishwa cheo kulingana na kazi aliyoifanya kwa kupola haki za wana Igunga.
Hizo ndizo habari nilizopata kutoka kwa mtu wakaribu na mkurugenzi sasa yetu macho juu ya zawadi atakayo pewa na mwenye habari zaidi atuweke hapa tushirikiane kujadili hili.