Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma CUF, Eng. Mohamed Ngulangwa akabidhiwa fomu ya uteuzi Jimbo la Bagamoyo

CUF Habari

JF-Expert Member
Dec 12, 2019
239
234
Screenshot_20200822-072309.png


Mkurugenzi wa habari, uenezi na mahusiano na umma eng. Mohamed Ngulangwa amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Bagamoyo na kukabidhiwa fomu ya uteuzi wa Ubunge Jimbo la Bagamoyo
 
kwaiyo CUF nao eti wameajiri afisa habari anatupa habari😁😁😁
 
Cuf, kwisha kwisha kwisha kabisa ,ndembe ndembe mlalo wa mende chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom