- Dec 12, 2019
- 239
- 250

''Wajumbe mnajukumu kubwa sana katika Uchaguzi huu,wako watu wanadhani Mwenyekiti wa chama anaweza kupatikana kwa shinikizo kutoka kwenye Mitandao ya Kijamii'' #LiveKutokaMlimaniCity. #MkutanoMkuuChadema.
View attachment 1296208
''Wajumbe mnajukumu kubwa sana katika Uchaguzi huu,wako watu wanadhani Mwenyekiti wa chama anaweza kupatikana kwa shinikizo kutoka kwenye Mitandao ya Kijamii'' #LiveKutokaMlimaniCity. #MkutanoMkuuChadema.
Ata mm nimeshangaa mkuu, chadema kuna shida pahala.SIASA BANA HUYU ABDUL KAMBAYA ALIYEKUWA ANAICHUKIA CHADEMA YEYE NA LIPUMBA LEO HII KAJIUNGA NA CHADEMA AMA KWELII
WAJINGA NDO WALIWAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu!View attachment 1296208
''Wajumbe mnajukumu kubwa sana katika Uchaguzi huu,wako watu wanadhani Mwenyekiti wa chama anaweza kupatikana kwa shinikizo kutoka kwenye Mitandao ya Kijamii'' #LiveKutokaMlimaniCity. #MkutanoMkuuChadema.
Hahahaaa........Leo amekuwa jiwe kuu la pembeni!Kambaya na Lipumba niliwadharau siku nyingi sana kwa kuiua CUF
Kwenye siasa hakuna maadui wala marafiki wa kudumu bro; ni swala la kimkakati tu!SIASA BANA HUYU ABDUL KAMBAYA ALIYEKUWA ANAICHUKIA CHADEMA YEYE NA LIPUMBA LEO HII KAJIUNGA NA CHADEMA AMA KWELII
WAJINGA NDO WALIWAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kijana awe anachagua maneno ya kusema
SIASA BANA HUYU ABDUL KAMBAYA ALIYEKUWA ANAICHUKIA CHADEMA YEYE NA LIPUMBA LEO HII KAJIUNGA NA CHADEMA AMA KWELII
WAJINGA NDO WALIWAO
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona ccm mnakereka sana? na nyie si mna agenda zenu ktk ccm yenu? yajadili hayoHuyo kijana awe anachagua maneno ya kusema
Nani amekwambia kajiunga !??
View attachment 1296208
''Wajumbe mnajukumu kubwa sana katika Uchaguzi huu,wako watu wanadhani Mwenyekiti wa chama anaweza kupatikana kwa shinikizo kutoka kwenye Mitandao ya Kijamii'' #LiveKutokaMlimaniCity. #MkutanoMkuuChadema.
Hujaelewa, huyu anawakilisha CUF kama mgeni mualikwa na si mwanachama wa chademaSIASA BANA HUYU ABDUL KAMBAYA ALIYEKUWA ANAICHUKIA CHADEMA YEYE NA LIPUMBA LEO HII KAJIUNGA NA CHADEMA AMA KWELII
WAJINGA NDO WALIWAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli hivi aligombea na nani uenyekiti?Huyo kijana awe anachagua maneno ya kusema
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us