Mkurugenzi wa FBI: China inatoa vitisho vya muda mrefu kwa Marekani

Kipindi US inamtafuta Osama ili imuue, ilikutana nanshida moja;-
Kumuua Osama directly ingeleta uhasama na picture ya ubabe na uonezi mbele ya Arab countries na dunia kwa ujumla.

Basi wakatafuta strategy ambayo Osama atauliwa lakini bila kuleta mshituko kwamba panefanyika ubabe.

Ilibidi CIA wam-paint Osama kua ni gaidi na most wanted na serikali ya Marekani. CIA katika project hii, wakianza kutengeneza picha ya Osama na midevu kama mtu Fulani hivi katili, lengo ni kutengeneza picha mbaya ya Osama kwenye jamii. Moja ya sehemu ambako project ya vibonzo vya Osama viliuzwa ilikua China.

Walivoona nikama kilamtu Yuko aware sasa kwamba Osama gaidi, Osama anatisha, gaidi, gaidi basi wakaanza harakati kumtafuta mchana kweupe wakamkamata wakamuua. Hakuna hata single country, no Russia or China iliyo freak kwamba US kamonea mtu hapo.

Hii ni mbinu ambayo US/CAI wametumia kwingi Sana, mbinu ya kuku label kama we ni mbaya Sana, then anapull trigger anakumaliza.

Mfano: Saddam ana Bioweapon, mbinu ilikua successfully.

Gaddafi aliua na kutesa watu wake wengi Sana, successfully.

Qassem Suleiman anaua anatarget na kuua wamarekani katika ubarozi wa US, mbinu successfully.

Mifano iko mingi.

Kwahiyo US/CIA Wana kulabel Kwanza kukupa picha mbaya, ili akianza kukutrigger world isione kama unaonewa.

Kwa kitu ambacho US anamfanyia China sasahivi naona ni strategy ileile ya kum-label China na kumpa picha mbaya kama inch inayoiba data na kuspy nchi nyingine (hili halina ubiahi China anafanya hivyo).

Naona US akifanikiwa kwa mbinu hii maana mpaka sasa nchi kubwa kubwa zime pull out from 5G projects na ki ban tech mbalimbali toka China. Mfano India, na baadhi ya EU


Kwahiyo msizani labda US analialia la hapana, ana m-label China hapo kilamtu ajue kua China ametengeneza Virus, China anaiba data, na naona anafanikiwa.

Katika ku pull out funds kutoka WHO na kujitoa hapa napo anafanikiwa.
Alikua anatoa $450m kwenda WHO kila mwaka, hizi fund WHO inanunua madawa na kutoa msaada nchi mbalimbali. Sasa kaona anakua taken for granted, ana withdraw WHO membership ili atumie shirika lake USAID kutoa msaada instead ya WHO.

hapa anataka kuhakikisha US/USAID ndo inatoa msaada na sio US behind WHO ambako alikua anakua taken for granted. Hapa anafanikiwa maaana kipindi high peak ya covid19 amegawa millions of $ na equipment katika nchi mbalimbali zikiwemo South America na Africa.

(Naona UK naye alikua anakua taken for granted na EU, anataka independent)

Hapa kila nchi itamshukuru US moja kwa moja instead ya kumshukuru WHO ambako asingejulikana kama ni yeye.

Kwa hizi strategies watu wanaweza kuzani US analialia la, hapana, dunia inabadilika so naye Yuko adaptive.


US kashikwa pabaya UCHINA wanajitambua sio wapuuzi wale

Tuombe UHAI mrefu tushuhudie Anguko la US
 
Kipindi US inamtafuta Osama ili imuue, ilikutana nanshida moja;-
Kumuua Osama directly ingeleta uhasama na picture ya ubabe na uonezi mbele ya Arab countries na dunia kwa ujumla.

Basi wakatafuta strategy ambayo Osama atauliwa lakini bila kuleta mshituko kwamba panefanyika ubabe.

Ilibidi CIA wam-paint Osama kua ni gaidi na most wanted na serikali ya Marekani. CIA katika project hii, wakianza kutengeneza picha ya Osama na midevu kama mtu Fulani hivi katili, lengo ni kutengeneza picha mbaya ya Osama kwenye jamii. Moja ya sehemu ambako project ya vibonzo vya Osama viliuzwa ilikua China.

Walivoona nikama kilamtu Yuko aware sasa kwamba Osama gaidi, Osama anatisha, gaidi, gaidi basi wakaanza harakati kumtafuta mchana kweupe wakamkamata wakamuua. Hakuna hata single country, no Russia or China iliyo freak kwamba US kamonea mtu hapo.

Hii ni mbinu ambayo US/CAI wametumia kwingi Sana, mbinu ya kuku label kama we ni mbaya Sana, then anapull trigger anakumaliza.

Mfano: Saddam ana Bioweapon, mbinu ilikua successfully.

Gaddafi aliua na kutesa watu wake wengi Sana, successfully.

Qassem Suleiman anaua anatarget na kuua wamarekani katika ubarozi wa US, mbinu successfully.

Mifano iko mingi.

Kwahiyo US/CIA Wana kulabel Kwanza kukupa picha mbaya, ili akianza kukutrigger world isione kama unaonewa.

Kwa kitu ambacho US anamfanyia China sasahivi naona ni strategy ileile ya kum-label China na kumpa picha mbaya kama inch inayoiba data na kuspy nchi nyingine (hili halina ubiahi China anafanya hivyo).

Naona US akifanikiwa kwa mbinu hii maana mpaka sasa nchi kubwa kubwa zime pull out from 5G projects na ki ban tech mbalimbali toka China. Mfano India, na baadhi ya EU


Kwahiyo msizani labda US analialia la hapana, ana m-label China hapo kilamtu ajue kua China ametengeneza Virus, China anaiba data, na naona anafanikiwa.

Katika ku pull out funds kutoka WHO na kujitoa hapa napo anafanikiwa.
Alikua anatoa $450m kwenda WHO kila mwaka, hizi fund WHO inanunua madawa na kutoa msaada nchi mbalimbali. Sasa kaona anakua taken for granted, ana withdraw WHO membership ili atumie shirika lake USAID kutoa msaada instead ya WHO.

hapa anataka kuhakikisha US/USAID ndo inatoa msaada na sio US behind WHO ambako alikua anakua taken for granted. Hapa anafanikiwa maaana kipindi high peak ya covid19 amegawa millions of $ na equipment katika nchi mbalimbali zikiwemo South America na Africa.

(Naona UK naye alikua anakua taken for granted na EU, anataka independent)

Hapa kila nchi itamshukuru US moja kwa moja instead ya kumshukuru WHO ambako asingejulikana kama ni yeye.

Kwa hizi strategies watu wanaweza kuzani US analialia la, hapana, dunia inabadilika so naye Yuko adaptive.
Kumbuka jamii ya kimataifa imeelewa sasa hii mbinu ya Marekani ndio maana unaona ugumu inayopata. Pia kumbuka wababe wameongezeka, tecnolojia imesambaa na pia mataifa mengi yameamka. Bwana wenu lazima ajue kila familia ina mambo yake ya ndani! Aangalie mambo yake ya ndani sababu hii kujifanya anadodosa mambo ya familia nyingine atakuja kutatuliwa marinda
 
Kipindi US inamtafuta Osama ili imuue, ilikutana nanshida moja;-
Kumuua Osama directly ingeleta uhasama na picture ya ubabe na uonezi mbele ya Arab countries na dunia kwa ujumla.

Basi wakatafuta strategy ambayo Osama atauliwa lakini bila kuleta mshituko kwamba panefanyika ubabe.

Ilibidi CIA wam-paint Osama kua ni gaidi na most wanted na serikali ya Marekani. CIA katika project hii, wakianza kutengeneza picha ya Osama na midevu kama mtu Fulani hivi katili, lengo ni kutengeneza picha mbaya ya Osama kwenye jamii. Moja ya sehemu ambako project ya vibonzo vya Osama viliuzwa ilikua China.

Walivoona nikama kilamtu Yuko aware sasa kwamba Osama gaidi, Osama anatisha, gaidi, gaidi basi wakaanza harakati kumtafuta mchana kweupe wakamkamata wakamuua. Hakuna hata single country, no Russia or China iliyo freak kwamba US kamonea mtu hapo.

Hii ni mbinu ambayo US/CAI wametumia kwingi Sana, mbinu ya kuku label kama we ni mbaya Sana, then anapull trigger anakumaliza.

Mfano: Saddam ana Bioweapon, mbinu ilikua successfully.

Gaddafi aliua na kutesa watu wake wengi Sana, successfully.

Qassem Suleiman anaua anatarget na kuua wamarekani katika ubarozi wa US, mbinu successfully.

Mifano iko mingi.

Kwahiyo US/CIA Wana kulabel Kwanza kukupa picha mbaya, ili akianza kukutrigger world isione kama unaonewa.

Kwa kitu ambacho US anamfanyia China sasahivi naona ni strategy ileile ya kum-label China na kumpa picha mbaya kama inch inayoiba data na kuspy nchi nyingine (hili halina ubiahi China anafanya hivyo).

Naona US akifanikiwa kwa mbinu hii maana mpaka sasa nchi kubwa kubwa zime pull out from 5G projects na ki ban tech mbalimbali toka China. Mfano India, na baadhi ya EU


Kwahiyo msizani labda US analialia la hapana, ana m-label China hapo kilamtu ajue kua China ametengeneza Virus, China anaiba data, na naona anafanikiwa.

Katika ku pull out funds kutoka WHO na kujitoa hapa napo anafanikiwa.
Alikua anatoa $450m kwenda WHO kila mwaka, hizi fund WHO inanunua madawa na kutoa msaada nchi mbalimbali. Sasa kaona anakua taken for granted, ana withdraw WHO membership ili atumie shirika lake USAID kutoa msaada instead ya WHO.

hapa anataka kuhakikisha US/USAID ndo inatoa msaada na sio US behind WHO ambako alikua anakua taken for granted. Hapa anafanikiwa maaana kipindi high peak ya covid19 amegawa millions of $ na equipment katika nchi mbalimbali zikiwemo South America na Africa.

(Naona UK naye alikua anakua taken for granted na EU, anataka independent)

Hapa kila nchi itamshukuru US moja kwa moja instead ya kumshukuru WHO ambako asingejulikana kama ni yeye.

Kwa hizi strategies watu wanaweza kuzani US analialia la, hapana, dunia inabadilika so naye Yuko adaptive.
Kwamba china unaifanananisha na iraq ya saddam lybia ya gadafi na nguvu ya osama ??

Mkuu utakuwa unatania

China ni taifa lapili kwa nguvu ya uchumi .kisiasa .ushawishi na technology
Hauwezi kulifananisha taifa la china na hiyo mifano uliyoitoa hapo '' mifano yako ni mfu ' Yakupasa utambue kuwa kutokana na ukubwa wa uchumi .technology na ushawishi wa kisiasa alionao china katika hiki kipindi cha vita baridi ni lazima tu patakuwa na mataifa yapo nyuma ya china na kuna mataifa yapo nyuma ya USA ...
Endapo Usa au china mmoja wapo kati ya hao akitaka kumgusa Mwenzake kuna uwezo kano mkubwa ambao unaweza kuja. Kusababisha vita kubwa ya 3 ya dunia

Dunia ya sasa mambo hayaendi kama hivyo unavyo fikiria wewe
 
Mkurugenzi wa shirika la FBI nchini Marekani amesema kwamba vitendo vya upelelezi na wizi unaotekelezwa na serikali ya China ni tishio la muda mrefu kwa Marekani

Akizungumza katika Taasisi ya Hudson mjini Washington, Christopher Wray alielezea kampeni ya usumbufu iliyokithiri

Alisema kwamba China imeanza kuwalenga raia wa China wanaoishi ughaibuni, ikiwashurutisha kurudi nyumbani na kwamba ilikuwa inajaribu kuingilia utafiti wa corona wa Marekani

''China imeanza juhudi za kuhakikisha kuwa ndio taifa la pekee litakalokuwa na uwezo mkubwa zaidi duniani kwa hali na mali'', aliongezea.

Katika hotuba iliochukua karibia saa moja siku ya Jumanne, Mkurugenzi wa FBI alielezea jinsi China inavyoingilia masuala ya Marekani kupitia kampeni kubwa ya upelelezi wa uchumi wa Marekani, wizi wa data na fedha kwa lengo la kushawishi sera za Marekani.

''Tumefikia wakati ambapo FBI sasa imeanza kufungua kitengo cha kukabiliana na visa vya Ujasusi wa China kila baada ya saa 10'', bwana Wray alisema.

''Kati ya visa 5000 vya kukabiliana na ujasusi vinavyoendelea kote nchini , karibia nusu yake vinahusishwa na China''.

Mkurugenzi huyo wa shirika la ujasusi nchini Marekani alisema kwamba rais wa China Xi Jinping alianzisha mpango kwa jina 'Fox Hunt', unaowalenga raia wa China ughaibuni wanaoonekana kuwa tishio kwa serikali ya China.

''Tunazungumzia kuhusu wapinzani wa kisiasa, watoro na wakosoaji walio na lengo la kufichua ukiukaji wa haki za kibinadamu unaotekelezwa na China'', alisema

''Serikali ya China inataka kuwalazimisha kurudi nyumbani na mbinu zinazotumiwa na china kufanikisha mpango huo inashtua''.

Aliendelea: inaposhindwa kumpata mtu inayemtafuta, serikali ya China hutuma mjumbe kutembelea familia ya mtu huyo nchini Marekani. Ujumbe unaotolewa ni : Rudi China haraka ama jiue.
Dunia ipo ktk kiza kinene sana hasa ikizingatiwa China ni zaid ya tuwajuwavyo hawa hawana dini na dini yao ni Buddha wana amini ktk miungu na sio Mungu hili Taifa kuitawala dunia basi dunia itakuwa sio salama ni taifa ambalo aina ya serikal na vile wanafanya kazi nikitisho kwa ulimwengu mzima ndio taifa pekee hakuna kisicho liwa wanakula kila kitu sijuw kama hawali watu. Ni mara mia kuwa chin ya hawa wazungu kuliko mchina nahisi kama tungewela data wazi hapa basi china inaweza kuwa ndio taifa lina nyonga watu wake zaidi kuliko taifa lolote duniani hawa tangu Mao ndio taifa lililo jengwa kwa mkono wa chuma je dunia china yao tutaweza? Ndugu yangu tusali hayo ndio maoni yangu na mawazo yangu.
 
Dunia ipo ktk kiza kinene sana hasa ikizingatiwa China ni zaid ya tuwajuwavyo hawa hawana dini na dini yao ni Buddha wana amini ktk miungu na sio Mungu hili Taifa kuitawala dunia basi dunia itakuwa sio salama ni taifa ambalo aina ya serikal na vile wanafanya kazi nikitisho kwa ulimwengu mzima ndio taifa pekee hakuna kisicho liwa wanakula kila kitu sijuw kama hawali watu. Ni mara mia kuwa chin ya hawa wazungu kuliko mchina nahisi kama tungewela data wazi hapa basi china inaweza kuwa ndio taifa lina nyonga watu wake zaidi kuliko taifa lolote duniani hawa tangu Mao ndio taifa lililo jengwa kwa mkono wa chuma je dunia china yao tutaweza? Ndugu yangu tusali hayo ndio maoni yangu na mawazo yangu.
Hao wazungu wanaomjua Mungu sio hao wanaopitisha sheria zakuoana watu wajinsia moja wakat huko kwa UCHINA hayapo ?!

Unaelewa mana ya demokrasia ?!
demokrasia inatoa uhuru wakula unachokitaka ukiamua

Demokrasia inataka kila mtu awe huru maadam hakiuki sheria za taifa husika

UCHINA kuitawala DUNIA nihatari kubwa sana kama ilivyo kwa US

US haijanyonga watu wake imeua watu wangapi IRAQ LIBYA SYRIA nakwengineko ?!


US wabweke tu nisuala lamuda tu mzee.....
 
Us imeanza kupumulia machine mda mrefu sana!
Mapafu yamesha jaa maji hakuna njia ya kuyaondoa!
Na In Lina dondosha maji nje ya tumbo figo nazo zipo kwenye hali mbaya zimelemewa
Kinacho fuata ni kuwaalika wale wajuba wa Nigeria waje kumbeba Marehem huku wanapiga Jaramba...!!!
Kitengo cha kukusanya michango kipo chini yangu
 
Back
Top Bottom