MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,975
Wakati akiongea na shirika la habari ya Uingereza liitwalo Reuters, Mkurugenzi wa Kampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amesema Makontena ya Makinikia yaliyozuiwa na serikali ya Tanzania Bandarini Dar es Salaam yana thamani ya Dola za Kimarekani milioni 280 ambapo ni sawa na takribani shilingi za Kitanzania bilioni 647.
Mkurugenzi huyo amesema kwa sasa wako mbioni kutekeleza makubaliano ya mkataba waliokubaliana na serikali ikiwa ni pamoja na kuilipa serikali ‘’kishika uchumba’’ cha thamani ya dola milioni 300.
‘’Tunavyoongea kwa sasa tumeanza mchakato wa kuyasafirisha Makinikia na baadaye tutailipa serikali ya Tanzania dola milioni 100’’, Mkurugenzi Mark Bristow alisema.
Alimalizia kwa kusema, ‘’Kwa sasa tuko mbioni kuanza tena uzalishaji katika mgodi wa Bulyanhulu baada ya kuufunga kutokana na amri ya serikali kuzuia usafirishaji wa Makinikia’’.
Kwa mnaojua lugha ya Kiingereza mnaweza kusoma hapa:
Mkurugenzi huyo amesema kwa sasa wako mbioni kutekeleza makubaliano ya mkataba waliokubaliana na serikali ikiwa ni pamoja na kuilipa serikali ‘’kishika uchumba’’ cha thamani ya dola milioni 300.
‘’Tunavyoongea kwa sasa tumeanza mchakato wa kuyasafirisha Makinikia na baadaye tutailipa serikali ya Tanzania dola milioni 100’’, Mkurugenzi Mark Bristow alisema.
Alimalizia kwa kusema, ‘’Kwa sasa tuko mbioni kuanza tena uzalishaji katika mgodi wa Bulyanhulu baada ya kuufunga kutokana na amri ya serikali kuzuia usafirishaji wa Makinikia’’.
Kwa mnaojua lugha ya Kiingereza mnaweza kusoma hapa:
Barrick Gold will start to ship gold worth up to $280 million from Tanzania, chief executive Mark Bristow said on Monday, after the government lifted an export ban following the resolution of a three-year tax dispute.
“The shipments will start immediately and, as we speak, we are mobilising the concentrates,” Mark Bristow told Reuters in a telephone interview.
“It’s (worth) around $260-$280 million depending on the price of metal prices at the time of sale.”
Spot gold, which rose 18% last year, is hovering at about $1,600 per ounce.
Bristow said $100 million from the proceeds of the sale of concentrates will go towards paying down a $300 million settlement agreed with the government.
As part of the deal, Tanzania will own 16% of Twiga Minerals, a new joint venture set up to manage the Bulyanhulu, North Mara and Buzwagi mines.
In the long-standing dispute, Acacia was accused of tax evasion, leading the government to impose a ban on exporting mineral concentrates and to change mining laws in 2017.
Barrick also plans in the fourth quarter of this year to re-start the Bulyanhulu mine in Tanzania, which ceased operations because of the export ban.