Mkurugenzi wa Barrick Gold adai Makinikia yaliyozuiwa Bandarini Dar yana thamani ya $280 Milioni

HAMNA KITU HAPO HIYO WAMEKADIRIA 260 TO 280 .TUTAIBIWA MPAKA TUKOME. HAKUNA CHA MAGUFURI WALA NANI
 
Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!

Ukweli umeanza kujitokeza kupitia kwa ''wenye mchanga''!

Ninazidi kuamini kuwa uongo hutumia lift kuwafikia walengwa lakini ukweli hutumia ngazi!

Inawezekana hata haya makadirio (estimate) ya Mkurugenzi wa Barrick niya chini kwa faida yake ya kibiashara!

Tuendelee kuusubiri ukweli!

''Uncle Magu'' ni king'ang'anizi kweli kweli!
Hivi kuna mtu aliwahi kusema huo mchanga hauna dhahabu?

Ni mpumbavu gani angeuandaa na kuusafirisha mchanga usio na thamani ? Ukweli ni kuwa Serikali imekuja kukubaliana na madai ya Acacia kuwa average concentration of gold ndani ya mchanga ule ni 200 - 300 ppm (0.02 - 0. 03%) na Cu ni 1.5 - 2.5% kama ilovyooneshwa kwenye lab certificates za Acacia. Na siyo ule upuuzi uliotamkwa kuwa ni 90% gold. Kwa mwenye uelewa angejua wazi kuwa hakuna uwezekano hata wa kuwa 10% gold achilia mbali hiyo 90%.

Gold ni karibia ya 20 times of water gravity. Kitu ambacho kinafanya kama gold ingekuwa 90%, kusingekuwa hata na lorry la kubeba container kama hilo. Na wala hakuma container ambalo lingeweza kunyanyuliwa likiwa na uzito huo bila kupasuka.

Jambo jingine ni kuwa sarikali imekubaliana na madai ya Acacia kuwa kwa productions ya concentrates zilizopo Tanzania ni uneconomical kujenga plant ya recovery ya metals kutoka kwenye refractory ore.
 
Hivi kuna mtu aliwahi kusema huo mchanga hauna dhahabu?

Ni mpumbavu gani angeuandaa na kuusafirisha mchanga usio na thamani ? Ukweli ni kuwa Serikali imekuja kukubaliana na madai ya Acacia kuwa average concentration of gold ndani ya mchanga ule ni 200 - 300 ppm (0.02 - 0. 03%) na Cu ni 1.5 - 2.5% kama ilovyooneshwa kwenye lab certificates za Acacia. Na siyo ule upuuzi uliotamkwa kuwa ni 90% gold. Kwa mwenye uelewa angejua wazi kuwa hakuna uwezekano hata wa kuwa 10% gold achilia mbali hiyo 90%.

Gold ni karibia ya 20 times of water gravity. Kitu ambacho kinafanya kama gold ingekuwa 90%, kusingekuwa hata na lorry la kubeba container kama hilo. Na wala hakuma container ambalo lingeweza kunyanyuliwa likiwa na uzito huo bila kupasuka.

Jambo jingine ni kuwa sarikali imekubaliana na madai ya Acacia kuwa kwa productions ya concentrates zilizopo Tanzania ni uneconomical kujenga plant ya recovery ya metals kutoka kwenye refractory ore.
Nimejikumbusha summary ya taarifa ya Kamati ya Prof Mruma iliyosema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd 0.689mil, Lithium ya Usd 0.649mil, na Sulphur ya Usd 0.844mil. Jumla kuu ya thamani ya madini yote kwenye zile kontena 277 walipata Usd 652.663 million. Kimsingi kazi yao ilikuwa nzuri japokuwa haikuwa kwenye uhalisia sana. Hata hiyo inayotamkwa sasa ya Usd 280 ni makadirio tu, thamani halisi itajulikana baada ya kupembua makinikia hayo kwenye smelter au mnunuzi kufanya uchunguzi wake. Hivyo, si sahihi kwa sasa kuweka conclusion katika suala hilo.
 
Mkuu;
Soma vizuri na uelewe maoni yangu!

Ni wapi nimesema huo ni mchanga kama mchanga wa kawaida?

Nimesem, ''Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!
Mkuu,
Naomba tukumbushane tafadhali;
Wataalam wa acacia walisema una thamani gani, serikali ilizuia kwa sababu thamani iliyotajwa wakati huo ni ndogo.
Kuna tofauti gani kati ya thamani ya kabla ya kuzuiwa na ya sasa?
 
hivi mtu akikulipa kishika uchumba si anataka kukuoa ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu,
Naomba tukumbushane tafadhali;
Wataalam wa acacia walisema una thamani gani, serikali ilizuia kwa sababu thamani iliyotajwa wakati huo ni ndogo.
Kuna tofauti gani kati ya thamani ya kabla ya kuzuiwa na ya sasa?
Kamati ya Prof Mruma ilisema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd 0.689mil, Lithium ya Usd 0.649mil, na Sulphur ya Usd 0.844mil.

Jumla kuu ya thamani ya madini yote kwenye zile kontena 277 walipata Usd 652.663 million.
 
Mark Bristow said $ 280 mil the value of all containers containing concentrates.. Am saying double that value..

So the real value will be around $ 560 mil..

Ila Mungu alimuumba Mh. Rais Magufuli kutuokoa aisee, kutoka utumwani Misri kwenda nchi ya ahadi kwa kweli.!!
 
Wakati akiongea na shirika la habari ya Uingereza liitwalo Reuters, Mkurugenzi wa Kampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amesema Makontena ya Makinikia yaliyozuiwa na serikali ya Tanzania Bandarini Dar es Salaam yana thamani ya Dola za Kimarekani milioni 280 ambapo ni sawa na takribani shilingi za Kitanzania bilioni 647.

Mkurugenzi huyo amesema kwa sasa wako mbioni kutekeleza makubaliano ya mkataba waliokubaliana na serikali ikiwa ni pamoja na kuilipa serikali ‘’kishika uchumba’’ cha thamani ya dola milioni 300.

‘’Tunavyoongea kwa sasa tumeanza mchakato wa kuyasafirisha Makinikia na baadaye tutailipa serikali ya Tanzania dola milioni 100’’, Mkurugenzi Mark Bristow alisema.

Alimalizia kwa kusema, ‘’Kwa sasa tuko mbioni kuanza tena uzalishaji katika mgodi wa Bulyanhulu baada ya kuufunga kutokana na amri ya serikali kuzuia usafirishaji wa Makinikia’’.

Kwa mnaojua lugha ya Kiingereza mnaweza kusoma hapa:

 
..kasikilize hotuba ya DINGI utaelewa ninachosema.

..yeye ndiye aliyekuja na UONGO kwamba watu walikuwa wanadai kuwa ule ni mchanga usiokuwa na thamani.

..kwa muda mrefu watu wamekuwa wakihoji kuhusu thamani halisi ya mchanga wenye dhahabu au makinikia.

..Na ndiyo maana kulikuwepo na hoja ya kujenga SMELTER hapa nchini. Na hoja hiyo ilikuwepo tangu awamu ya nne, na huenda kabla ya hapo.

..Tunachosisitiza ni serikali kuwa na TAARIFA ZA UHAKIKA na kuacha udanganyifu au kuwajaza wananchi matumaini ya uongo.

..Serikali ilitoa ahadi kubwa-kubwa mwanzoni mwa suala hili. akini sasa hivi wamesalimu amri kwa barrick, na wanazungumza lugha za kutupooza na wameachana kabisa na ahadi walizokuwa wakitoa.
Mkuu
Unazungumzia nn kwa taarifa ipi?

Unakumbuka vzr? Kuwa tuliambiwa huo mchanga ni mchanga kama michanga mingine? Haukuwa na thAmAni? Ila unalindw kwa mtutu na escort juu?

Unakumbuka jinsi pale bAndarin watendaji walivyo thibitishA juu ya uthamAn wake?

Sasa mtendAj mkuu kathibitishA ukwel wa maneno yA Rais kuwA MAKINIKIA yanathaman kubwa(wanawez kutofautiana thamani kutokAnA na utAfiti)

Ila mwisho wA siku thAmani yA makinikia ni kubwa..

Sasa hApA kunaushAhid kuwa Rais ni mkwel, na mengine ya kiwango cha mchanga ni ya kitAaluma, hvyo kwa mdA muafaka tutapatA thaman halisi..

UnAweza usimpende Rais kwA anAyoyafanyA na kwa sabb zako binafsi lkn ukwel the PRESIDOR yupo sahihi100%

B

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna mtu aliwahi kusema huo mchanga hauna dhahabu?

Ni mpumbavu gani angeuandaa na kuusafirisha mchanga usio na thamani ? Ukweli ni kuwa Serikali imekuja kukubaliana na madai ya Acacia kuwa average concentration of gold ndani ya mchanga ule ni 200 - 300 ppm (0.02 - 0. 03%) na Cu ni 1.5 - 2.5% kama ilovyooneshwa kwenye lab certificates za Acacia. Na siyo ule upuuzi uliotamkwa kuwa ni 90% gold. Kwa mwenye uelewa angejua wazi kuwa hakuna uwezekano hata wa kuwa 10% gold achilia mbali hiyo 90%.

Gold ni karibia ya 20 times of water gravity. Kitu ambacho kinafanya kama gold ingekuwa 90%, kusingekuwa hata na lorry la kubeba container kama hilo. Na wala hakuma container ambalo lingeweza kunyanyuliwa likiwa na uzito huo bila kupasuka.

Jambo jingine ni kuwa sarikali imekubaliana na madai ya Acacia kuwa kwa productions ya concentrates zilizopo Tanzania ni uneconomical kujenga plant ya recovery ya metals kutoka kwenye refractory ore.
Mkuu

Fanya uchunguzi wa kitabibu, elim yako inaweza kukufanyA ukAwa -100%

KunAugonjwa unAitwa personselfish desses(kamA ntakuwa nimekosea nisamehe ilA hospitAl wanAupima)

Kachunguze huenda unatattzo hlo, mAanA dalili zake nmeziona kwenye andiko lako.... ikiwa si hvyo bAsi Account yako kunamtu alisign in akAkuandikiA...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuliambiwa na baadhi ya ‘’wataalam wa madini’’ nchini kuwa ule ni mchanga hauna thamani kama ambavyo serikali kupitia Rais Magufuli wanadai!

Ukweli umeanza kujitokeza kupitia kwa ''wenye mchanga''!

Ninazidi kuamini kuwa uongo hutumia lift kuwafikia walengwa lakini ukweli hutumia ngazi!

Inawezekana hata haya makadirio (estimate) ya Mkurugenzi wa Barrick niya chini kwa faida yake ya kibiashara!

Ikumbukwe Kamati ya Prof Mruma ilisema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd 0.689mil, Lithium ya Usd 0.649mil, na Sulphur ya Usd 0.844mil.

Jumla kuu ya thamani ya madini yote kwenye zile kontena 277 walipata Usd 652.663 million.

Tuendelee kuusubiri ukweli!

''Uncle Magu'' ni king'ang'anizi kweli kweli!
Anko Magu nakumbuka alisema makontena yale yana dhahabu kama malori 27 ya tani saba. Tukaambiwa kila mtanzania angekamata Noah yake....

Kwahiyo Noah ndo zimeogelea baharini
 
CCM ni ile ile.....

ndiyo iliyoamua makontena ya mchanga yasafirishwe
na ndiyo iliyogeuka na kusema uamuzi huo ulikuwa ni wa hovyo na wizi wa ajabu kutokea Tanzania tangu Uhuru...

na si ajabu kesho wakaja kusema uamuzi wa kuyazuia kankotena ulikuwa hamna mantiki kabisa...ulikuwa wa kifisadi..

CCM mnatuchanganya wananchi.
 
Mkuu,
Naomba tukumbushane tafadhali;
Wataalam wa acacia walisema una thamani gani, serikali ilizuia kwa sababu thamani iliyotajwa wakati huo ni ndogo.
Kuna tofauti gani kati ya thamani ya kabla ya kuzuiwa na ya sasa?
Swali zuri sana.

Hii taaifa sioni utofauti wowote na ile taarifa ya hao Acacia ya kuwa concentrates zilikuwa na thamani ya U$260m. Kwa sasa hata kama itakuwa $280, itakuwa ni kutokana na ongezeko la bei ya dhahabu kwa sasa.

Tunatafuta sifa hata ambazo hazipo. Hivi tukiishi kwa uhuru wa nafsi bila ya ushabiki, uwongo na unafiki, tunapungukiwa nini?
 
Mkuu

Fanya uchunguzi wa kitabibu, elim yako inaweza kukufanyA ukAwa -100%

KunAugonjwa unAitwa personselfish desses(kamA ntakuwa nimekosea nisamehe ilA hospitAl wanAupima)

Kachunguze huenda unatattzo hlo, mAanA dalili zake nmeziona kwenye andiko lako.... ikiwa si hvyo bAsi Account yako kunamtu alisign in akAkuandikiA...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa umenisaidia sana kama ungeniambia ni lipi lisilo sahihi.

Lakini kwa faida yako tu, Duniani kote concentrates huwa na kiwango kati ya 200 - 300 ppm, ambayo ni sawa na 0.2 - 0.3%; sawa na 200 - 300g/t.

Kwanza hii ya kusema makonteina yale ni ya mchanga na baadaye kuita makinikia, ni sisi tulivyotafsiri neno Au-Cu-Ag concentrate. Kama report zote zilikuwa zinataja kuwa ni concentrate, hii ya kusema ni mchanga tu usio na kitu chochote cha thamani, ni nani aliyewahi kutamka? Kama ni mchanga tu, ulikuwa u asafirishwa kwenda kufanyiwa nini?

Ninachojua konteina zile zilikamatwa ili kutengeneza mazingira ya majadiliano juu ya kutengeneza mikataba mipya ya kibiashara. Ni mbinu ya kibiashara ya kutengeneza mazingira yanayoweza kilazimisha mazungumzo.

Ninachoweza kumsifu Rais ni ile dhamira yake. Hakufanya vile ili kujinufaisha yeye kama mtu binafsi bali ilikuwa ni kwaajili ya Taifa.
 
Kamati ya Prof Mruma ilisema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd 0.689mil, Lithium ya Usd 0.649mil, na Sulphur ya Usd 0.844mil.

Jumla kuu ya thamani ya madini yote kwenye zile kontena 277 walipata Usd 652.663 million.

Asante sana Mkuu,

Sasa hivi yatauzwa kwa bei gani?
Tofauti na iliyotajwa mwanzo ni kiasi gani?
 
Back
Top Bottom