Kamati ya Prof Mruma ilisema kuwa kwenye zile Kontena 277 kuna dhahabu ya USD 521.3mil, Copper ya Usd 10.6mil, Silver ya Usd 1.08mil, Iridium ya Usd 105mil, Iron ya 1.2mil, Ytterbium ya Usd 7.5mil, Beryllium ya 3.8mil, Tantalum ya Usd 1.3mil, Rhodium ya Usd 0.689mil, Lithium ya Usd 0.649mil, na Sulphur ya Usd 0.844mil.
Jumla kuu ya thamani ya madini yote kwenye zile kontena 277 walipata Usd 652.663 million.
Asante sana Mkuu,
Sasa hivi yatauzwa kwa bei gani?
Tofauti na iliyotajwa mwanzo ni kiasi gani?