Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania ATCL, Eng. Matindi amekanusha taarifa ya ndege yake aina ya Bombadier Q400 kuwa mbovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania ATCL, Eng. Matindi amekanusha taarifa ya ndege yake aina ya Bombadier Q400 kuwa mbovu millard ayo on Twitter
hawa vijana wa chadema ushamba unawasumbua, yaani wao ndege ya serikali ikipata tatizo kwao ni sherehe
Mkuu kati ya nyie mnaowashabikia wala rambirambi na chadema wanaoshangilia ndege kupata tatizo nani ushamba unamsumbuahawa vijana wa chadema ushamba unawasumbua, yaani wao ndege ya serikali ikipata tatizo kwao ni sherehe
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania ATCL, Eng. Matindi amekanusha taarifa ya ndege yake aina ya Bombadier Q400 kuwa mbovu millard ayo on Twitter
Pia tusishangilie ikipata matatizo.hii siyo ndege ya ccm ni ya watanzania wote..kuhoji ni haki ya kika mtu
Abiria alisema ngege ilikuwa na ubovu gani? Gari lako likikwama kwenye tope maana yake ni bovu?Kutetea chakula ni Kazi sana...
Kuna siku kiongozi wa hii serikali ya awamu 5 atakuja kukanusha mke wake kuwa hana mimba wakati tumbo tunaliona.........
Swali ni je yeye alikuwa Arusha? Aliyetoa taarifa si ni abilia aliyekuwa kwenye tukio tena na picha juu...
Au na yeye anasafiri kila route na hizo ndege siku hizi?