BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Baada ya kuingia mfumo wa electroniki
Mh mkurugenzi wa uhamiaji wakati muafaka sasa kuondoa matongotongo watanzania passport inapatikana baada ya muda gani ukikamilisha docs zote
Hakuna asiyejua kumekuwa na mambo ya ajabu sana hizo ofisi hapo nyuma unakamilisha docs zote ukienda baada ya wiki mbili njoo kesho keshokutwa...
Mhindi unaefuatana naye foleni yeye anakuja kuchukua passport baada ya wiki moja wewe unaonekana mkimbizi nyumban kwako. Inauma sana hili jambo sijui wamejipangaje. Na hili kuondoa madaraja ya upatikanaji passport
Hizi ni shida za kila siku uhamiaji tunaomba mtueleze ule urasmu wa njoo mwezi ujao nao utaisha ama ndio muda unaongezeka?
Nawatakia muendelezo mwema kielectoronikia
Mh mkurugenzi wa uhamiaji wakati muafaka sasa kuondoa matongotongo watanzania passport inapatikana baada ya muda gani ukikamilisha docs zote
Hakuna asiyejua kumekuwa na mambo ya ajabu sana hizo ofisi hapo nyuma unakamilisha docs zote ukienda baada ya wiki mbili njoo kesho keshokutwa...
Mhindi unaefuatana naye foleni yeye anakuja kuchukua passport baada ya wiki moja wewe unaonekana mkimbizi nyumban kwako. Inauma sana hili jambo sijui wamejipangaje. Na hili kuondoa madaraja ya upatikanaji passport
Hizi ni shida za kila siku uhamiaji tunaomba mtueleze ule urasmu wa njoo mwezi ujao nao utaisha ama ndio muda unaongezeka?
Nawatakia muendelezo mwema kielectoronikia