sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Habar za jioni?
Wakazi wa mbezi ya kimara hasa mtaa wa KWA MSUGURI, hatuna umeme leo ni siku ya pili tunapiga simu zinapokelewa tunaletewe porojo!
Tunaambiwa kuna kikosi kazi kinazunguka huko kitalekebisha hakuna linalofanyika
Watendaji wa Tanesco KIMARA TAFADHALI MKURUGENZI WA TANESCO TUONEE HURUMA TAFADHALI SANAAA MAANA KAMA NI UMEME TUMENUNUA.
Wakazi wa mbezi ya kimara hasa mtaa wa KWA MSUGURI, hatuna umeme leo ni siku ya pili tunapiga simu zinapokelewa tunaletewe porojo!
Tunaambiwa kuna kikosi kazi kinazunguka huko kitalekebisha hakuna linalofanyika
Watendaji wa Tanesco KIMARA TAFADHALI MKURUGENZI WA TANESCO TUONEE HURUMA TAFADHALI SANAAA MAANA KAMA NI UMEME TUMENUNUA.