Mkurugenzi ni mshtakiwa namba moja, polisi namba mbili, chadema namba tatu bila unafiki

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
MKURUGENZI ndiye.chanzo cha yote atoe sababu za kwa nini hakutekeleza matakwa ya sheria kwa kutoa barua za mawakala kwa wakati? Ni kipi kilimsibu hadi ashindwe kiheshimu sheria za uchaguzi hali iliyo pelekea hofu dhidi yake?

POLISI huyu NI mtuhumiwa namba mbili lakin anaweza kushika nafasi ya kwanza wakati wowote ule maana hakukuwa na sababu za kitaalam kutumia silaha za moto.kwa.kundi lile na pia kwanini wamekuwa waongo kwa kutaka kuukwepesha ukweli? hawa NI washtakiwa pia.maana tukio lile lilionekana dhahiri kabisa mrusha lisasi alikuwa nani.


CHADEMA kosa Lao NI la kutengenezwa. maana kisheria na kikatiba hawana kosa lolote lile ila wakitengenezewa kosa wataonekana wanakosa la kufanya maandamano ambalo naona sio maandamano Bali ulikuwa NI msafara kuelekea NEC kupata usahihi kuhusu mkurugenzi kugoma.kutoa barua

jambo ambalo NI haki Yao kikatiba vinginevyo serikali na jeshi lilieleze taifa kulikuwa na uhitaji gani wa.kutumia silaha za moto kwa kupambana.na.watu walio kuwa kwenye msafara ule wakati wana mbinu zisizo na madhara kutuliza ghasia


ILA CHANZO KIKUU CHA KIFO CHA AQUILLINA. NI MKURUGENZI WA UCHAGUZI KINONDONI MAANA NDIYE MSHAWISHI WA YOTE YALIYO TOKEA.
 
Mhusika mkuu ni yule aliyeagiza Mtulia anunuliwe, bila Chakubanga kupokea maagizo ya kununua kusingekuwa na uchaguzi, hao wengine ni mashahidi tu.
hapo sasa naona hadi.wananchi walio mchaguwa kuwa mbunge kwa awamu ya kwanza nao wana hatia


na tukieenda mbali zaid utakuta ukawa nao wanahatiabhasa kwa.kumuweka mgombea asiye jua wajibu wake kama mbunge na anapaswa kumtumikia nani

na tukizidi zaid.utakuta hata wazazi WA mtulia wana.hatua kwanini wali zaa mtoto asiye.jitambua.hadi wakamuacha anakua na mwisho kuja kuwa mbunge asiye jua wajibu wake hadi kupekelea kurudia.uchaguzi ulio gharimu maisha ya AQUILLINA.
 
Umeamua kuwa prosecuter,judge na jury....
Mbowe kawaingiza mkenge halafu yeye katoroka
 
Kiukweli... Aliyechelewesha kutoa vibali ndiyo sababu na chanzo cha haya yote...

Vimekuja kutolewa wakati madhara yashafanyika tayari...

Cc: mahondaw
 
MKURUGENZI ndiye.chanzo cha yote atoe sababu za kwa nini hakutekeleza matakwa ya sheria kwa kutoa barua za mawakala kwa wakati? Ni kipi kilimsibu hadi ashindwe kiheshimu sheria za uchaguzi hali iliyo pelekea hofu dhidi yake?

POLISI huyu NI mtuhumiwa namba mbili lakin anaweza kushika nafasi ya kwanza wakati wowote ule maana hakukuwa na sababu za kitaalam kutumia silaha za moto.kwa.kundi lile na pia kwanini wamekuwa waongo kwa kutaka kuukwepesha ukweli? hawa NI washtakiwa pia.maana tukio lile lilionekana dhahiri kabisa mrusha lisasi alikuwa nani.


CHADEMA kosa Lao NI la kutengenezwa. maana kisheria na kikatiba hawana kosa lolote lile ila wakitengenezewa kosa wataonekana wanakosa la kufanya maandamano ambalo naona sio maandamano Bali ulikuwa NI msafara kuelekea NEC kupata usahihi kuhusu mkurugenzi kugoma.kutoa barua

jambo ambalo NI haki Yao kikatiba vinginevyo serikali na jeshi lilieleze taifa kulikuwa na uhitaji gani wa.kutumia silaha za moto kwa kupambana.na.watu walio kuwa kwenye msafara ule wakati wana mbinu zisizo na madhara kutuliza ghasia


ILA CHANZO KIKUU CHA KIFO CHA AQUILLINA. NI MKURUGENZI WA UCHAGUZI KINONDONI MAANA NDIYE MSHAWISHI WA YOTE YALIYO TOKEA.
Leaders Who Have Political Affiliation with a Ruling party or other Parties. Have the so Called Conflict of interest, There for Can not Lead To Fair and peace full Elections
 
TAFAKARI VIZURI....

UKITAKA KUNG'OA MTI, UTASHUGHULIKA NA NINI KATI YA VIFUATAVYO?

MZIZI MKUU (TAP ROOT), MIZIZI YA KAWAIDA, SHINA, MATAWI, VINYOYA (VINYWELEO), MAGOME, MATAWI, MAJANI, MAUA....
 
Pia ujiulize Chadema walikuwa Wapi siku zote hizo mpaka waje kufanya vurugu siku moja kabla ya Uchaguzi??

Jibu ni kuwa walijua kabisa kuwa wanakwenda kushindwa; Hiyo ilikua mbinu Yao tu ya kuhakikisha kuwa wanavuruga uchaguzi.
 
Watuhumiwa
Ofisi ya Rais
Wizara ya Mambo ya Ndani
NEC
Mtulia
Mkurugenzi
 
Pia ujiulize Chadema walikuwa Wapi siku zote hizo mpaka waje kufanya vurugu siku moja kabla ya Uchaguzi??

Jibu ni kuwa walijua kabisa kuwa wanakwenda kushindwa; Hiyo ilikua mbinu Yao tu ya kuhakikisha kuwa wanavuruga uchaguzi.
uzuri NI kwamba hayo NI yale ulo yaandika kwa hofu ya kukosa posho yako ya siku lakin nafsi yako inakusuta maana ukweli unaujua vyema pasi na chembe ya unafiki
 
Pia ujiulize Chadema walikuwa Wapi siku zote hizo mpaka waje kufanya vurugu siku moja kabla ya Uchaguzi??

Jibu ni kuwa walijua kabisa kuwa wanakwenda kushindwa; Hiyo ilikua mbinu Yao tu ya kuhakikisha kuwa wanavuruga uchaguzi.
Inamaana wewe hukuziona jitihada walizofanya kabla walianza kufuatilia km two weeks before. Walifika hadi ofisi za tume ya uchaguzi lakini walifumba macho, unategemea wafanyaje ili kupata haki yao?
 
Back
Top Bottom