Mkurugenzi Ngorongoro Jumaa Mhina yamkuta tena

Haya yote nimeyafafanua vizuri Sana Sasa sijui Ni hiyo kichwa yako ngumu kuelewa ama ni ujeuri wako tu sijui.

Nimesema wapi likizo sio haki ya mtumishi ? Hii nishaeleza huko juu.

Kuhusu kukaimu ,akaimiwe yeye akiwa wapi ? Kwa dharura gani ? Kuna ulazima huo yeye kwenda likizo kwasasa Wakati Kuna miradi inahitajika mwezi ujao na deadline inagonga hodi.

Kwenye makabrasha yenu ya kuombea kazi huwa mnaandika mna uwezo wa kufanya kazi under high pressure na ku meet deadline , Sasa leo mnakana makabrasha yenu ?
Kwani ukurugenzi hua unaombwa ni kazi ya kuteuliwa?

Unauliza akaimiwe akiwa wapi? Si akaimiwe akiwa likizo au unapendekeza akaimiwe akiwa wapi? Hawa wakurugenzi wakienda Dodoma kwenye vikao hua wanakaimiwa au hujui hili? Kama ni hivyo ugumu wa nafasi yake kukaimiwa akiwa likizo unatoka wapi?

Hoja yako ya uzalendo ni propaganda. Sabaya alifanya kazi mpaka usiku wa manani, akaitwa mzalendo ila leo yuko wapi?

Nimeandika vitu vyepesi ila huvioni unakimbilia kutukana matusi hayatakuokoa it's either upange hoja au ujifiche ila matusi siyo dawa.
 
Dharura ya Kujenga madarasa?
Mwezi ujao wanafunzi wanatakiwa waanze kusomea humo. Sasa sijui wewe utaamua utakavyoita Kama ni dharura au vipi .Sijui ...... Mimi nimeamua kuita dharura ...ninachojua mwezi ujao madarasa yanahitajika baasi watoto waanze kusoma.
 
Usitaje ID yangu kwenye ujinga!Nimeshakuelimisha kuwa waliotunga sheria ya likizo siyo wajinga.

Nimekuelimisha kuwa mtu asipoenda likizo kwa wakati hii huathiri efficiency pamoja na effectiveness yake kazini kitu ambacho hupunguza output yake na hili huathiri maendeleo ya nchi.Hukuelewa?!
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha ,John Mongela, amechukizwa na kitendo alichokifanya mkurugenzi wa wilaya ya Ngorongoro,Jumaa Mhina kwa kukaidi agizo lake na kuamua kwenda Likizo wakati akijua changamoto ya madarasa katika wilaya hiyo bado ni kubwa.

Akiongea kwenye mkutano wa utilianaji sahihi baina ya kandarasi za maji na wakala wa Maji vijijini RUWASA , Mongela bila kupepesa macho alimwambia mkurugenzi huyo asimjaribu hasa katika kipindi hiki Kuna wimbi la watoto kujiunga na kidato Cha kwanza mwakani.

"RAS nakuagiza huyu mkurugenzi kamwandikie barua ya onyo kanikwaza kweli nilishamkatalia mara mbili,ananijaribu, hajamaliza madarasa anataka likizo ,sasa haya mambo mengine ya kitoto wengine hatupendi"alisema

Mongela aliongeza "sote tumemwona rais anavyohangaika katuletea fedha za madarasa , kipindi kama hiki tungekuwa tunahangaika kushika mbuzi na kuku wa watu kupata fedha za madarasa".

Mkuu huyo wa mkoa alisema kuwa serikali ya Mama Samia imejipanga kumaliza suala la madarasa Kwa sababu fedha zipo, hivyo asitokee mtu mmoja kukwamisha jitihada hizi.

Mongela amedai kushangazwa na kitendo cha mkurugenzi huyo kuamua kuomba Likizo mara ya pili Kwa Katibu tawala (RAS) wakati alishamkatalia kwa sababu ya kutokamilisha suala la madarasa katika wilaya hiyo na kumwamuru RAS kumpatia onyo kali.

Mkurugenzi Mhina hivi karibuni alinusurika kutumbuliwa pale Rais Samia alipotangaza hadharani katika mkutano wa hadhara wilayani Longido alipotembelea Mkoa wa Arusha, akimtambulisha Kwa wananchi alivyo mnusuru Kutokana na tabia yake ya ukorofi na kugombana na wenzake.

View attachment 2060978

Wote ni wafanyakazi wa sheria zilezile:
1: Ameomba likizo mara mbili umemkatalia. Je ulijadiliana nae ataenda lini likizo ulipomkatalia mara ya kwanza na ya pili?

2: Je mjadala hapo juu mlikubaliana? Kwa sababu hili ni suala la haki ya msingi ya mfanyakazi.

3: Je mkurugenzi ni ofisi kuwa akiondoka ofisi inafungwa? Au ni fundi mkuu wa mradi??

4: Je kuna wakati kwenye mzunguko wa mwaka, ofisi ya mkurugenzi itakuwa haina kazi?

5: Kama hamjakubaliana kwa lolote ofisini, je sheria na taratibu zinasema kaongee kwenye mkutano?

6: Je mkurugenzi kaondoka bila ruhusa toka kwa RAS?

7: Je RAS ataandika barua ya onyo kwa kipengele kipi? Mkurugenzi kaondoka bila ruhusa au kaondoka kwa ruhusa kinyume na matakwa ya mjuu wa mkoa na siyo sheria? Kuanzisha migongano maofisini na kuona watu wabaya.

8: Watoto ni wetu na tangu wako darasa la sita tunajua idadi yao. Hili suala la kila mwaka kila mtu kuona madarasa ni suala la dharura si uzembe huu?? Tunashindwa kupanga kwaajili ya kizazi chetu hata miaka miwili ijayo then watu wasiende likizo?? Kila mtu atimize wajibu wake ipasavyo, tuachane na dharura zilizozoeleka.

9: Kati ya kununua ndege na madarasa nini ilikuwa dharura?
Mkipata hela za Covid 19 ndo mnaona dharura?

10: Mwakani ndo hakuna kazi kwenye ofisi ya mkurugenzi, mtampatia likizo miezi miwili?
 
Kwani ukurugenzi hua unaombwa ni kazi ya kuteuliwa?

Unauliza akaimiwe akiwa wapi? Si akaimiwe akiwa likizo au unapendekeza akaimiwe akiwa wapi? Hawa wakurugenzi wakienda Dodoma kwenye vikao hua wanakaimiwa au hujui hili? Kama ni hivyo ugumu wa nafasi yake kukaimiwa akiwa likizo unatoka wapi?

Hoja yako ya uzalendo ni propaganda. Sabaya alifanya kazi mpaka usiku wa manani, akaitwa mzalendo ila leo yuko wapi?

Nimeandika vitu vyepesi ila huvioni unakimbilia kutukana matusi hayatakuokoa it's either upange hoja au ujifiche ila matusi siyo daw
Duuh kazi ipo. Yaani kazi Yako Ni kuzunguka mulemule unaenda unarudi unaenda unarudi . Walimu wako walikua na kibarua kizito aisee.

Haya nimekutag Kwenye hizo comments nyingine hapo usipoelewa tena baasi utakua jeuri na mkaidi Kama huyo ndugu Mkuregenzi.

Suala hapa kulikua na ulazima gani wa yeye kwenda likizo kwasasa Wakati Kuna kazi kubwa mbele yake ? Anaumwa au ? Achana na suala la haki , haki yake iko palepale na Wala likizo yake haijaondolewa Ni suala la kuadjust tu ratiba . Achana na suala la kukaimu na nini hizo ni case tofauti.
Tunaongelea mradi hapa wa haraka tulitaka tuone uwajibikaji na Uzalendo .
 
Usitaje ID yangu kwenye ujinga!Nimeshakuelimisha kuwa waliotunga sheria ya likizo siyo wajinga.

Nimekuelimisha kuwa mtu asipoenda likizo kwa wakati hii huathiri efficiency pamoja na effectiveness yake kazini kitu ambacho hupunguza output yake na hili huathiri maendeleo ya nchi.Hukuelewa?!
Huna hata haja ya kunielimisha. Ninaelewa vizuri umuhimu wa likizo?
Mimi naongelea kwake Ilikua na ulazima Sana yeye kwenda wakati huu ambapo Kuna miradi inahitajika mwezi ujao ..? Pengine na wewe hufahamu pia ndio shida.

Eeh haya usiku mwema
 
Duuh kazi ipo. Yaani kazi Yako Ni kuzunguka mulemule unaenda unarudi unaenda unarudi . Walimu wako walikua na kibarua kizito aisee.

Haya nimekutag Kwenye hizo comments nyingine hapo usipoelewa tena baasi utakua jeuri na mkaidi Kama huyo ndugu Mkuregenzi.

Suala hapa kulikua na ulazima gani wa yeye kwenda likizo kwasasa Wakati Kuna kazi kubwa mbele yake ? Anaumwa au ? Achana na suala la haki , haki yake iko palepale na Wala likizo yake haijaondolewa Ni suala la kuadjust tu ratiba . Achana na suala la kukaimu na nini hizo ni case tofauti.
Tunaongelea mradi hapa wa haraka tulitaka tuone uwajibikaji na Uzalendo .

Likizo haitolewi kwa vigezo vya kuumwa, ni haki ya msingi ya mfanyakazi baada ya kutimiza wajibu wake wa kutumikia kila mwezi, kila mwezi mmija ni siku 2. Yeye ametimiza na mwaka unaisha.

Unapoahilisha hasa kwenye kipindi hiki ambacho mwaka unaisha inabidi ukae na mfanyakazi na mjadiliane. Siyo amri tu.

Unajua na yeye mtumishi ana mahitaji gani? Tusiishi kiimla

Kwani darasa hilo limeanzishwa mwaka huu?? Mipango haikujulikana kuwa watoto wa darasa la saba ni wangapi mwaka mzima? Hakuna dharura hapo.
 
Wote ni wafanyakazi wa sheria zilezile:
1: Ameomba likizo mara mbili umemkatalia. Je ulijadiliana nae ataenda lini likizo ulipomkatalia mara ya kwanza na ya pili?

2: Je mjadala hapo juu mlikubaliana? Kwa sababu hili ni suala la haki ya msingi ya mfanyakazi.

3: Je mkurugenzi ni ofisi kuwa akiondoka ofisi inafungwa? Au ni fundi mkuu wa mradi??

4: Je kuna wakati kwenye mzunguko wa mwaka, ofisi ya mkurugenzi itakuwa haina kazi?

5: Kama hamjakubaliana kwa lolote ofisini, je sheria na taratibu zinasema kaongee kwenye mkutano?

6: Je mkurugenzi kaondoka bila ruhusa toka kwa RAS?

7: Je RAS ataandika barua ya onyo kwa kipengele kipi? Mkurugenzi kaondoka bila ruhusa au kaondoka kwa ruhusa kinyume na matakwa ya mjuu wa mkoa na siyo sheria? Kuanzisha migongano maofisini na kuona watu wabaya.

8: Watoto ni wetu na tangu wako darasa la sita tunajua idadi yao. Hili suala la kila mwaka kila mtu kuona madarasa ni suala la dharura si uzembe huu?? Tunashindwa kupanga kwaajili ya kizazi chetu hata miaka miwili ijayo then watu wasiende likizo?? Kila mtu atimize wajibu wake ipasavyo, tuachane na dharura zilizozoeleka.

9: Kati ya kununua ndege na madarasa nini ilikuwa dharura?
Mkipata hela za Covid 19 ndo mnaona dharura?

10: Mwakani ndo hakuna kazi kwenye ofisi ya mkurugenzi, mtampatia likizo miezi miwili?
Natamani kukujibu yote hayo ila duh nimechoka kutype siwezi.

Kwa Madarasa yanaweza kuwa dharura Kila mwaka idadi ya wanafunzi inaongezeka watu wanafyatua kwelikweli . Madarasa na madawati Kila baada ya muda ni shida.
 
Natamani kukujibu yote hayo ila duh nimechoka kutype siwezi.

Kwa Madarasa yanaweza kuwa dharura Kila mwaka idadi ya wanafunzi inaongezeka watu wanafyatua kwelikweli . Madarasa na madawati Kila baada ya muda ni shida.

Hivyo, idara ya elimu wilaya mpaka mkoa walikuwa likizo?? Hawajui wana watoto wangapi kwa madarasa??? Ndo maana kila mwaka hili ni suala la dharura🤔🤔

Hayahaya ya kukosa projections, ndo maana tunajenga barabara na kuzibomoa ndani ya miaka 1-2.

Ni kukosa vipaumbele tu:
1: Ulishasikia serikali inanunua VX kwa dharura?
2: ulishasikia wabunge wanalipwa kwa dharura richa ya kuongezeka kwao?? Achana na wanasiasa.

Dharura kwa watoto wa masikini, umesikia wapi serikali imepunguza matumizi ili kutekeleza dharura ya madarasa?? Si mwaka jana kulikuwa na dharura hii hii??
 
Duuh kazi ipo. Yaani kazi Yako Ni kuzunguka mulemule unaenda unarudi unaenda unarudi . Walimu wako walikua na kibarua kizito aisee.

Haya nimekutag Kwenye hizo comments nyingine hapo usipoelewa tena baasi utakua jeuri na mkaidi Kama huyo ndugu Mkuregenzi.

Suala hapa kulikua na ulazima gani wa yeye kwenda likizo kwasasa Wakati Kuna kazi kubwa mbele yake ? Anaumwa au ? Achana na suala la haki , haki yake iko palepale na Wala likizo yake haijaondolewa Ni suala la kuadjust tu ratiba . Achana na suala la kukaimu na nini hizo ni case tofauti.
Tunaongelea mradi hapa wa haraka tulitaka tuone uwajibikaji na Uzalendo .
Likizo inaweza kua adjusted hilo lipo wazi na watumishi wengi wana viporo vya likizo.

Hii hoja yako ya 'Uzalendo' haina mashiko nimekupa mfano wa mtu aliyejihesabia na kuhesabiwa mzalendo na alipo sasa hivi. Kufanya kazi bila likizo siyo kipimo cha uzalendo.

Kama unakubaliana na mimi kwamba ni haki yake sasa kwanini unashangaa anapoiomba? Mradi wa haraka!!? Wa haraka!? Ni nini hichi cha haraka? Wewe na mimi hatujui kama huo mradi utekelezaji wake unategemea uwepo wa DED kwa 100%

As in 'Ded hayupo hatujengi madarasa' we hii inakuingia akilini? Unadisplay tabia ya dependency kwa mtu, unaamini uwepo wa DED ndiyo utafanikisha ujenzi kwani hatuna miongozo inayotuambia DED asipokuepo shughuli zitaendaje?

Kwanini tusiconsult miongozo sasa?

Senior alimwambia subordinate wake kwamba asiende kwakua kuna swala A? Na waahirishe likizo?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom