WAIKORU
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,587
- 2,444
Hapo jana katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Tarime, Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Mji-Tarime alimsimamisha kazi Afisa Utumishi kwa kosa la kula njama ya kuiibia serikali..
Kwa mujibu wa Mkurugenzi, Afisa Utumishi huyo kwa Jina la Marwa...amekuwa akishirikiana na watumishi wengine idadi yao ikiwa ni sitini (60) kuondoa makato kwenye salary slip zao ikiwa tayari wana mikopo benki..na hivyo kuwafanya watumishi hao kuwa na sifa ya kukopesheka tena...
iko hivi, mtumishi A anaenda benki NMB anakopa milion tano kwa miaka mitatu ambapo makato yake kwa mwezi ni laki mbili... analipa miezi miwili..then anaenda kwa huyo Afisa Utumishi wanakula dili...anamwondolea makato..afu anamprintia salary slip inayoonesha kuwa mtumishi A hadaiwi...
kwa hiyo Mtumishi A..anebda benki nyingine. say CRDB anakopa tena...ukikatwa miezi miwili mitatu...wanafanya yao...anaenda benki nyingine tena kukopa...
Kwa kuwa Mwajiri (mkurugenzi) ndio anaweka dhamana kwa watumishi..analazimika kulipa fidia kwa Benki zinazodai kupata hasara...
Hivo baada ya kufanya uchunguzi kwa muda ...amegungua mchezo huo kati ya Afisa Utumishi huyo na watumishi wengine 60..wengi wao wakiwa ni Walimu...
source: mimi mwenyewe nlienda kwenye hicho kikao.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi, Afisa Utumishi huyo kwa Jina la Marwa...amekuwa akishirikiana na watumishi wengine idadi yao ikiwa ni sitini (60) kuondoa makato kwenye salary slip zao ikiwa tayari wana mikopo benki..na hivyo kuwafanya watumishi hao kuwa na sifa ya kukopesheka tena...
iko hivi, mtumishi A anaenda benki NMB anakopa milion tano kwa miaka mitatu ambapo makato yake kwa mwezi ni laki mbili... analipa miezi miwili..then anaenda kwa huyo Afisa Utumishi wanakula dili...anamwondolea makato..afu anamprintia salary slip inayoonesha kuwa mtumishi A hadaiwi...
kwa hiyo Mtumishi A..anebda benki nyingine. say CRDB anakopa tena...ukikatwa miezi miwili mitatu...wanafanya yao...anaenda benki nyingine tena kukopa...
Kwa kuwa Mwajiri (mkurugenzi) ndio anaweka dhamana kwa watumishi..analazimika kulipa fidia kwa Benki zinazodai kupata hasara...
Hivo baada ya kufanya uchunguzi kwa muda ...amegungua mchezo huo kati ya Afisa Utumishi huyo na watumishi wengine 60..wengi wao wakiwa ni Walimu...
source: mimi mwenyewe nlienda kwenye hicho kikao.