DED wa Mafia bwana Eric Mapunda ni jipu tena tatizo kweli! Mkurugenzi huyu ambaye ametokana na kushindwa ubunge huko kwao haishi vituko
1) Amekuwa na kawaida ya kuingilia taratibu za manunuzi kwa lengo la kujinufaisha binafsi, mfano ameenda mwenyewe kununua cement akijifanya alinunua kiwandani kumbe kanunua kwa mtu huko Dar.
2) Ameagiza na kununua mbao kutoka iIringa bila kufuata taratibu za manunuzi kisingizio anabana matumizi ya serikali wakati anayaongeza maradufu.
3) Amemlipa kwa impress Afisa Aridhi ambaye pia ni mwandani wake tsh 4.5 milion kwa ajili ya kutengeneza/kuchimba bwawa la maonesho ya nanenane! hakuna bwawa wala samaki walopelekwa.
4) Anawasimamisha na kuwashusha watumishi wote ambao wanajaribu kuhoji maamuzi yake mf. Mwanasheria na Dt. Mwanasheria amesimamishwa ili kumpisha mwandani wake ambaye ni mwalimu huyu ndo kaimu mwanasheria kwa sasa.
5) Ameagiza na kushonesha nguo za wauguzi na madaktari hospital ya wilaya bila kufuata sheria za manunuzi kilichotokea anakijua mwenyewe. Nguo hazikuwatosha kampuni ni yake toka kaongea.
6) Mwezi wa saba juzi lilitoka tangazo la kuwataka wanaotaka kuhama halmashauri nyingine wahame huyu bwana amekataa. Amemkatalia RAS eti Mafia haihusiki.
Mambo ni mengi lakini ikumbukwe tu kuwa huyu ni kati ya wale wakurugenzi waliotafutwa na mtukufu mpaka usiku wa mamake.
Mafia kuna vyombo kama mkuu anavyojitapa nacho, vimchunguze huyu mkurugenzi kabla hajafanya mabaya zaidi.
Natoa wito kwa PCCB ichunguze mienendo yote ya mkurugenzi huyu kuanzia ya watumishi mpaka kununua na kujua ili kujua kama bado ana credibility ya kuitwa mkurugenzi maana baadhi ya tabia hazivumiliki.
1) Amekuwa na kawaida ya kuingilia taratibu za manunuzi kwa lengo la kujinufaisha binafsi, mfano ameenda mwenyewe kununua cement akijifanya alinunua kiwandani kumbe kanunua kwa mtu huko Dar.
2) Ameagiza na kununua mbao kutoka iIringa bila kufuata taratibu za manunuzi kisingizio anabana matumizi ya serikali wakati anayaongeza maradufu.
3) Amemlipa kwa impress Afisa Aridhi ambaye pia ni mwandani wake tsh 4.5 milion kwa ajili ya kutengeneza/kuchimba bwawa la maonesho ya nanenane! hakuna bwawa wala samaki walopelekwa.
4) Anawasimamisha na kuwashusha watumishi wote ambao wanajaribu kuhoji maamuzi yake mf. Mwanasheria na Dt. Mwanasheria amesimamishwa ili kumpisha mwandani wake ambaye ni mwalimu huyu ndo kaimu mwanasheria kwa sasa.
5) Ameagiza na kushonesha nguo za wauguzi na madaktari hospital ya wilaya bila kufuata sheria za manunuzi kilichotokea anakijua mwenyewe. Nguo hazikuwatosha kampuni ni yake toka kaongea.
6) Mwezi wa saba juzi lilitoka tangazo la kuwataka wanaotaka kuhama halmashauri nyingine wahame huyu bwana amekataa. Amemkatalia RAS eti Mafia haihusiki.
Mambo ni mengi lakini ikumbukwe tu kuwa huyu ni kati ya wale wakurugenzi waliotafutwa na mtukufu mpaka usiku wa mamake.
Mafia kuna vyombo kama mkuu anavyojitapa nacho, vimchunguze huyu mkurugenzi kabla hajafanya mabaya zaidi.
Natoa wito kwa PCCB ichunguze mienendo yote ya mkurugenzi huyu kuanzia ya watumishi mpaka kununua na kujua ili kujua kama bado ana credibility ya kuitwa mkurugenzi maana baadhi ya tabia hazivumiliki.