Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Nawewe fanyaSasa Kuna umuhimu gani ya uchaguzi?, maana wanaoratibu shughuli ya uchaguzi Na kusimamia Ni ccm?
Nawewe fanyaSasa Kuna umuhimu gani ya uchaguzi?, maana wanaoratibu shughuli ya uchaguzi Na kusimamia Ni ccm?
Mkurugenzi katoa rushwa ya ushawish wa madaraka eti?Hakuna mgombea asiyetowa rushwa ccm, huwa wanazidiana dau tu.
Mtakoma.Kazi IPO
Kwasababu anachukuliwa kama Mtumishi wa serikali na moja kati sheria za utumishi wa Umma, ukitaka kugombea udiwani, Ubunge au uraia lazima kuache kazi kwanza, ataachia nafasi kwanza.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Joseph Monko ameshinda kura ya maoni CCM katika jimbo la Singida Kaskazini.
Kwani anayechagua ni rais?Halafu utamsikia Mimi ni raisi wa wote,mpenda haki,sibagui huku Makala anaomba msamaha kwa bosss kwa Mkoani kwake diwani wa upinzani kutangazwa kashinda!!!
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Joseph Monko ameshinda kura ya maoni CCM katika jimbo la Singida Kaskazini.
Utaratibu wa kikatiba unasemaje kabla hatujamuacha? Kashajiuzulu nafasi yake ya ukurugenzi wa mji kama sheria za uchaguzi zinavyomdai?Si mlishajitoa, muwaache wafanye mambo yao sasa...
Joseph Monko sawa.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Joseph Monko ameshinda kura ya maoni CCM katika jimbo la Singida Kaskazini.
WalaleAlafu ndiyo wapinzani washiriki chaguzi?
Bora wasusie tu
Ova
Babaake alikuwa mbunge toka enzi ya TANU walikuwa wanapambana na ISINGO.Huyu monko aligombea 2015 na aliacha Kazi Tanga cement
Aliupenda sana ubunge mwacheni aupate
Jibu zuri sana.Kwani anayechagua ni rais?
Katiba mpya haiwezi kuja kwa porojo mnazopiga hapa. Mnashagilia mfalme Mbowe kujitoa kwenye chaguzi mnadhani hao wabunge wa kuleta katiba mpya watatoka wapi? Nyie wafuasi wa [HASHTAG]#lissumsaliti[/HASHTAG] ni ovyo kabisa.Ni kiini macho tu, hapa lazima tupate katiba mpya ndio muharobaini otherwise ni maigizo tu.
Fanyeni mambo yenu muwaache wafanye yao period!Utaratibu wa kikatiba unasemaje kabla hatujamuacha? Kashajiuzulu nafasi yake ya ukurugenzi wa mji kama sheria za uchaguzi zinavyomdai?
Polepole na mkurugenzi wa uchaguzi mna la kutuambia kuhusu matumizi mabaya ya madaraka katika chaguzi zenu?