Mkurugenzi mpya wa Vodacom Hashim Hendi hawezi kazi aondolewe

Selwa

JF-Expert Member
Dec 17, 2010
540
513
Aise me naona huyu MD mpya ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaaada. Uozo starts from the top, mbona mwaka jana haikua hivi? Au ni mimi mwenyewe? Siku ya leo zimeenda 10GB ndani ya lisaaa sijui zimeishaje...nimeenda mpaka vodashop yani hamna msaada, yani siku nikikaa vizuri hii kesi naipeleka mahakamani nina hamu za million 60 za kumfungulia mamaa duka la nguo maana imekuwa kero sana...
 
Aise me naona huyu MD mpya ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaaada. Uozo starts from the top, mbona mwaka jana haikua hivi? Au ni mimi mwenyewe? Siku ya leo zimeenda 10GB ndani ya lisaaa sijui zimeishaje...nimeenda mpaka vodashop yani hamna msaada, yani siku nikikaa vizuri hii kesi naipeleka mahakamani nina hamu za million 60 za kumfungulia mamaa duka la nguo maana imekuwa kero sana...
Duh...!.
P
 
Aise me naona huyu MD mpya ni mbovu sana. Tangu aingie yeye ndo vifurushi tunaibiwa balaa, mimi personally nimeibiwa vifurushi nimelalamika wee hamna msaaada. Uozo starts from the top, mbona mwaka jana haikua hivi? Au ni mimi mwenyewe? Siku ya leo zimeenda 10GB ndani ya lisaaa sijui zimeishaje...nimeenda mpaka vodashop yani hamna msaada, yani siku nikikaa vizuri hii kesi naipeleka mahakamani nina hamu za million 60 za kumfungulia mamaa duka la nguo maana imekuwa kero sana...
kwenye kampuni zima yenye watu karibu700 pale HQ unahizi yeye peke yake ndie anaeamua leo bei ya kifurushi iwe vile au hivi..?, hapo TCRA hujawazungumzia, Nilichokiona kwenye uzi wako ni Dhamira yako ya kutaka kufungua Duka la nguo nothing else
 
kwenye kampuni zima yenye watu karibu700 pale HQ unahizi yeye peke yake ndie anaeamua leo bei ya kifurushi iwe vile au hivi..?, hapo TCRA hujawazungumzia, Nilichokiona kwenye uzi wako ni Dhamira yako ya kutaka kufungua Duka la nguo nothing else

hiki kiburi ndo kitawatoa million 60 mfanyakazi wa vodacom....... acheni kuiba bundle... hatujaongelea bei ya kifurushi tumeongelea kifurushi kuisha GB 10 ndani ya nusu saa.
 
Jipu kuu ni TCRA maana wao ndio wanatakiwa kulisimamia hili lakini wapo kimya wanaiachia mitandao ya cm ifanye ipendavyo
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom