Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,009
- 9,874
Kumbe KMK nae yupo ziarani Bukoba!
Subiri zamu yako.Fagio linapitishwa kila sehemu, si vumbi wa mende vitasalia.
Fagio linapitishwa kila sehemu, si vumbi wa mende vitasalia.
Kakumbuka kuna binamu hana kazi
Kavunja sheria kwani?Kuteua na kutengua siku za jumapili sio sifa
Inaonesha udhaifu wa mipangilio...
Je Moto ukiwaka week end, mimi zimamoto nisizime kwa kusubiri mapaumziko yaishe?! Nadhani hii inabidi liagaliwe kwa upana inategemea kosa limefanyika lini, madhara yake yakoje nk. Mtumishi wa umma yuko kazini siku 365/ majuma 52/ miezi 12/ siku 7/masaa 24. Naomba tu mtoa maada tusaidiane tatizo likitokea week end suruhisho lisubiri?!Kuteua na kutengua siku za jumapili sio sifa
Inaonesha udhaifu wa mipangilio....
Namna ya kutengeneza ajira mpyaKakumbuka kuna binamu hana kazi
Niwaza kama wewe kwani kesho haifiki??Kuteua na kutengua siku za jumapili sio sifa
Inaonesha udhaifu wa mipangilio
Kama wewe huheshimu utaratibu wa kupumzika ..
Heshimu Kwa wengine..
Acha watu wapumzike..
Kesho unaendelea na teua na tengua zako
KMK anaishi Chato kwa PJMJKumbe KMK nae yupo ziarani Bukoba!
Nampa pole aliyetumbuliwa, hayo ndio maisha.
Serikali haina dini wala mapumziko, ndo maana police, madaktari na manesi wanafanya kazi 24/7Kuteua na kutengua siku za jumapili sio sifa
Inaonesha udhaifu wa mipangilio
Kama wewe huheshimu utaratibu wa kupumzika ..
Heshimu Kwa wengine..
Acha watu wapumzike..
Kesho unaendelea na teua na tengua zako