Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,333
😏😏😏Mbona uzi haueleweki. Rioba ni think tank namkubali sana. Ukimuendea hovyo hovyo utarudi hoi .Keep it up Dr. Ayub
Sent using Jamii Forums mobile app
😏😏😏Mbona uzi haueleweki. Rioba ni think tank namkubali sana. Ukimuendea hovyo hovyo utarudi hoi .Keep it up Dr. Ayub
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona uzi haueleweki. Rioba ni think tank namkubali sana. Ukimuendea hovyo hovyo utarudi hoi .Keep it up Dr. Ayub
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani 'Safari chanel' huwaga siyo ya Tbc?Kama kutaanzishwa hiyo channel ya wanyama TBC basi ni busara mwanzisha wazo hapa Jf akawa acknowledged japo mkurugenzi anaikandia JF ajue hapa ndo wazo limetokea
I feel sorry for him!!...Ryoba alikuwa na akili sana kabla ya kuanza kuunga mkono juhudi!!
Mkuu elewa Mawazo mfu ni jibu rahisi kwa hoja yenye nguvu, inayofikirisha, rejelea nguvu ya hoja zako utuelimishe humu ndani siyo kwa hoja nyepesi zenye jazba, eti ''mawazo mfu kwa vigezo vipi kwani?'',Tanzania inaangamia sana, NA itaendelea kuangamia kutokana na kuwepo KWA Watu wengi sana wenye mawazo mfu na potofu kama haya uliyonayo wewe.
"Ee Mungu we, tunusuru wana wa nchi hii ya Tz kwa kuwafanya Watu wenye mawazo potofu kama haya wazaliwe huko mbali kwenye nchi nyingine lakini siyo Tz"!!
ThanksMkuu elewa Mawazo mfu ni jibu rahisi kwa hoja yenye nguvu, inayofikirisha, rejelea nguvu ya hoja zako utuelimishe humu ndani siyo kwa hoja nyepesi zenye jazba, eti ''mawazo mfu kwa vigezo vipi kwani?'',
umeamua kujaza saver ya JF maksud?.
Cause you are beating around the bushes, walking dead and you are comfortable about it, au naongea na mtoto?
Ni ubaguzi, uchoyo, umimi na chuki kumtaka huyo mungu wako awape nchi nyingine, tena mbaya zaidi za Africa, tunazoziimbia kila siku Mungu ibariki...., eti ndo zipate watu wenye mawazo potofu. kama wewe mmakonde uko hivi Maadui wa bara la Africa wafanye nini?.
Viongozi wote madikteta kama Idd Amin, ndo walikuwa na akili km hizi, aliua viwete eti wanatia aibu, lkn waelewa hatukumlaumu Idd Amin sana. alivo fanya ni kwa sababu ya misingi mibovu ya Elimu ya Madrasa tu. kumbe watu km yeye hawajaisha.
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo alisema anataka magugu na ngano viote pamoja. kwa Elimu yako hii ya Madrasa ni kinyume na hii jargon. itakugharimu miaka mingi, muda na pesa kujua hekima ya Mungu iliyojifunua kwa wachache. japo utaona haikusaidii lkn ndo chanzo cha maarifa.
Ryoba na tbc yake hali inazidi kuwa tete
Possible...kama anapata 5m per month kwa mwaka ana 60m?Mimi nahitaji kujua kwamba ukiwa mhadhiri kweli waweza lipwa hio 60 milioni? sasa jamaa amesoma na anajua kua haiwezekani kulipwa mil 60 tbc kwanini alicha huko na kwenda tbc ukiwa mnafiki na muongo lazina uwe na kumbukumbu vizuri
Vyuo vingi take home yao hao phd ni 3.2mPossible...kama anapata 5m per month kwa mwaka ana 60m?