Upande mmoja anatakiwa atumie akili na hekima kukusanya kukusanya kodi kwa maelekezo ya Rais.
Upande wa pili ni lengo la trilioni 2 kwa mwezi kwa maelekezo ya Makamu wa Rais.
My take:
Siku zote mfanyabiashara lengo lake ni kutengeneza faida kubwa hapa naongelea "Big potatoes" au wafanyabiashara wakubwa ambao kila kitu wakichuma Tanzania wanapeleka kwenye account zao Canada/Ulaya.
Wafanyabiashara wa jamii ya Asia ni wajanja sana na wengi wao hawana uchungu na nchi yetu maana sio RAIA hawana hata kiwanja cha 20*20 hapa kwetu. Bado kuna makampuni makubwa yanayodai kila mwaka yanaingiza hasara ila hayafungi biashara au kuacha kuchimba madini.
Bado kuna ujanja wa kubadili majina ya kampuni baada ya grace period ya kodi kuisha. Wafanya biashara ni wajanja mno. Muhindi anaingiza mzigo kutoka China anausambaza kwenye store zaidi ya tano kisha dukani anaweka kamzigo kadogo ukienda kumkadiria kodi anajikuta analipa laki 1 kwa mwezi sawa na mtumishi kwenye salary ya laki 7.
Ukiweza kutimiza malengo haya yote mawili kwa ukamilifu, kwangu mimi wewe utakuwa mkurugenzi bora Tanzania.
"KAZI IENDELEE"
Upande wa pili ni lengo la trilioni 2 kwa mwezi kwa maelekezo ya Makamu wa Rais.
My take:
Siku zote mfanyabiashara lengo lake ni kutengeneza faida kubwa hapa naongelea "Big potatoes" au wafanyabiashara wakubwa ambao kila kitu wakichuma Tanzania wanapeleka kwenye account zao Canada/Ulaya.
Wafanyabiashara wa jamii ya Asia ni wajanja sana na wengi wao hawana uchungu na nchi yetu maana sio RAIA hawana hata kiwanja cha 20*20 hapa kwetu. Bado kuna makampuni makubwa yanayodai kila mwaka yanaingiza hasara ila hayafungi biashara au kuacha kuchimba madini.
Bado kuna ujanja wa kubadili majina ya kampuni baada ya grace period ya kodi kuisha. Wafanya biashara ni wajanja mno. Muhindi anaingiza mzigo kutoka China anausambaza kwenye store zaidi ya tano kisha dukani anaweka kamzigo kadogo ukienda kumkadiria kodi anajikuta analipa laki 1 kwa mwezi sawa na mtumishi kwenye salary ya laki 7.
Ukiweza kutimiza malengo haya yote mawili kwa ukamilifu, kwangu mimi wewe utakuwa mkurugenzi bora Tanzania.
"KAZI IENDELEE"