JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
MKURUGENZI MKUU TEA amepongeza Kampuni ya watumishi housing kwa ujenzi Wa Nyumba hizo mbili ambazo ziko katika hatua za mwisho kukamilika.
Amewataka kukamilisha ujenzi Kwa wakati ili wazikabidhi kwa Halmashauri ziweze kutumiwa na walimu kama ilivyokusudiwa
Kwa upande wake Mkurugenzi wa halm ya Simanjiro, Yefred Myenzi amemshukuru Mkurugenzi wa TEA na kuelezea kuwa nyumba hizo ni ukombozi kwa walimu kwa kuwa eneo hilo lina uhaba mkubwa Wa nyumba za walimu
Ameomba TEA kuendelea kuisaidia Halmashauri katika ujenzi wa miundombinu ili kuendelea kusogeza huduma ya elimu kwa jamii ya wafugaji ambao bado wako nyuma kielimu..
Amewataka kukamilisha ujenzi Kwa wakati ili wazikabidhi kwa Halmashauri ziweze kutumiwa na walimu kama ilivyokusudiwa
Kwa upande wake Mkurugenzi wa halm ya Simanjiro, Yefred Myenzi amemshukuru Mkurugenzi wa TEA na kuelezea kuwa nyumba hizo ni ukombozi kwa walimu kwa kuwa eneo hilo lina uhaba mkubwa Wa nyumba za walimu
Ameomba TEA kuendelea kuisaidia Halmashauri katika ujenzi wa miundombinu ili kuendelea kusogeza huduma ya elimu kwa jamii ya wafugaji ambao bado wako nyuma kielimu..