Mkurugenzi mkuu NSSF Prof. Godius Kahyarara, ni wewe ndiyo umeandika haya au kuna fitna ndani yake?

Makosa ni kama kuandika Eastern Africa badala ya East Africa.

Baada ya neno "Furthermore" ilitakiwa ifuate koma yaani angeandika "Furthermore,..."Kosa hili dogo pia liko pale alipoandika Arusha Dodoma bila kutengani majina ya mikoa hii miwili kwa kuweka koma yaani "Arusha, Dodoma". Makosa ya kawaida haya hata sisi tunafanya.

Hapo alipoandika "like any" ingependeza zaidi kama angeandika "like any other...".Neno "other" limekosekana hapo.

Hapo "in this phase" nadhani mleta mada alitaka pasomeke "during this phase".

Vile vile hapa alipoandika "on planning..." nadhani mleta mada alitaka pasomeke "in planning..."

Kosa lingine ni kuandika " His excellent the President..." badala ya "His exellency the President..."

Kosa lingine ni kuandika "brand modern new sugar plant" badala ya "brand new modern sugar plant.."

Makosa mengine ni ya kawaida tu kwa mfano kuna mahali alitakiwa kumalizia sentensi yake kwa kuweka koma kabla ya kuanza sentensi nyingine inayosemoke "I feel indebted..." yaani iltakiwa iwe "....,I feel indebted".Hapa ile sentensi nzima iliyotangulia ilitakiwa kutenganishwa na koma na hii sentensi inayosomeka "I feel indebted.....".

Maana yangu ni kuwa, neno "country" lilitakiwa kufuatiwa na koma kabla ya kuanze neno "I".

Makosa mengine hata sisi tunayafanya hivyo ni kawaida tu na wala sio issue sana hii.
Upuuzi mtupu huu uzi. Mtu akiifahamu lugha sio lazima aonekane mtalam wa lugha hiyo. Yeye sio mwalumu wa kiingereza ila mtalam wa fani ya uongozi.
 
Wengi hamjamwelewa mleta mada, amejaribu kuwaonyesha sehemu ambazo CEO kaonyesha kusifia ufanisi wa mfuko katika kipindi hicho cha 11-15.
Nadhani nia ya Ritz ni kuquestion habari zinazovuma kuhusu wizi uliofanyika kwenye mradi wa Kigamboni.
Lakini hata hiyo text na semantics in it do not carry the wait of a personality in it, ni uandishi wa kawaida mno kiasi kuwa when you go through it doesn't give you the appetite to continue reading, whether you like it or not language framing it is like cosmetic to beauty contest participants or decorations to bwana na bibi harusi
 
H
Mbona kiingereza ukiondoa vitypo vidogo vidogo kiko poa tu, au tatizo nini?

Kahyarara kasoma OXFORD , kwa wenye kiingereza chao!

Kosoa mengine, lakini sijaona ishu kubwa ya kiingerez Hapo
Huwezi kuona issue kubwa sababu wewe pia kama yeye hukijui Kiingereza. Ni sawa na kuwa na gari yenye matatizo halafu fundi wako anakwambia iko sawa kama mpya, utakuwa mgonjwa ukikubaliana naye.
 
Ritz kama kawaida yake ni mwepesi s kwenye issues! Bora angekoma kwenye uwakili 10yrs awe front sio fitina na siasa za uwakili awe wakili anaeenda mahakamani mwenyewe akipambana na hoja za kisheria na kuzipangua ingemsaidia sana kumjenga his low IQ ipande pande kidogo! Sas amepiga short cut aaahh ndio basi tena ! Cc , Le Mutuz Mburula
 
Hapana Prof is to blame, this is a document for public consumption, he ought to have made a critical reading of it to correct such silly mistakes. Ndio Maprofesa wetu. Shame up on him. Nakumbuka Prof. wa Stockholm University ulikuwa huwezi kuweka jina lake kwenye publication be it peer or locally reviewed kama hujampa akapitia kuona kama science, kiingereza vimekaa anavyotaka kuepuka kuharibu reputation na jina lake. Kahyarara take care please, kinachojitokeza ni kuwa hukupitia doc hiyo, bussiness as usual
 
Muhimu hapo NSSF wameamua kuwekeza kwenye viwanda na kama kuna fursa wajanja waende wakachukue. Wengine mwendelee kuwa waalimu wa kiingereza mkija kushtuka wenzenu wameshatajirika
 
Kosa siyo la Professor, ni kosa la Personal Secretary. Zamani ilikua PS anaajiriwa kwa uwezo siku hizi Mtu akiwa na Hawara yake basi anaajiriwa hovyo kabisa.
 
Hata mkosoe vipi enzi za Dau zimeshapita hazitorudi tena.

NI KWELI HATURUDI TENA KWENYE ENZI ZAKE...TUTABAKIA KUKUMBUKA TU UKIDAI MAFAO YAKO UNAYAPATA MARA MOJA BILA YA USUMBUFU NA ALIWEKA STANDARD YA KUHUDUMIA MEMBA. SASA ANAOMBA MSAADA KUDHIBITI MASIKINI YA MUNGU WASIPATE MAFAO YAO YA KUJITOA....NI KWELI DAU HAONDOKA NA WEMA WAKE NA UBORA WAKE...SASA WAME KUJA WATU WASIO NA HURUMA WALA UTU KABISA NA FEDHA ZA WATU....
 
ndege wanao fanana huruka pamoja,alie mteua mwenyewe hajui hiyo lugha
 
Kumbe Dau kaacha assets za kufa mtu NSSF, tazama thamani ya hizo assets na mwaka ziliohakikiwa.
 
Kumbe Dau kaacha assets za kufa mtu NSSF, tazama thamani ya hizo assets na mwaka ziliohakikiwa.
to be honest raisi wenu hana team nzuri,JK na mapungufu yake alikuwa na watu wengi smart wakumsaidia..!!ccm imejaa wafitini sana kama raisi wenu wasasa angetuliza akili alikuwa ameachiwa mwanzo mzuri
 
to be honest raisi wenu hana team nzuri,JK na mapungufu yake alikuwa na watu wengi smart wakumsaidia..!!ccm imejaa wafitini sana kama raisi wenu wasasa angetuliza akili alikuwa ameachiwa mwanzo mzuri

Jk alikuwa anasajili Wachezaji Mpira wazuri bila ya kujali Rafu zao, nidhamu zao Uwanjani.
JPM kwake kipaumbele cha kwanza ni nidhamu na pili elimu ya nadharia bila ya kujali unajua kucheza au hujui
 
Back
Top Bottom