Mkurugenzi Mkuu NSSF, Masha Mshomba hizo ajira 271 ni kaa la moto kwako, chukua tahadhari

Nauliza tuu...Hivi mashirika kama NSSF ajira zao huwa wanapanga wenyewe?

Au hadi Mama yetu asaini tena?..yaan kutoka serikalini huko.
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
MAJUNGU KATIKA UBOA WAKE
 
Huu utaratibu wa kuajiri the so called wanaojitolea ni wakukemewa kwa nguvu zote. Umegubikwa na rushwa na upendeleo kwa kuwa hata hizo nafasi za kujitolea zilitolewa kwa upendeleo pia.

Nafasi za kazi zitangazwe na watu waombe, kisha wapimwe kwa usaili.
 
Huu utaratibu wa kuajiri the so called wanaojitolea ni wakukemewa kwa nguvu zote. Umegubikwa na rushwa na upendeleo kwa kuwa hata hizo nafasi za kujitolea zilitolewa kwa upendeleo pia.

Nafasi za kazi zitangazwe na watu waombe, kisha wapimwe kwa usaili.
Nlipeleka barua yangu na vyetu NSSF makao makuu mwaka huu mwanzon lakn kabla ya hapo ndugu yangu wa karibu akaambiwa na mtu wa nssf ya pale Boma kwamba dogo anapeleka barua hatopata.. kweli bhana nmepeleka kwa hr wa kwanza then nikaambiwa barua yangu ipo kwa hr upande wa legal department haijajibiwa.. baada ya kufanya follow up ya siku kadhaa.. nikajibiwa kwa dharau siku hyo kwamba UMEKOSA NAFASI nlijiskia hovyo sana.. sikukata tamaa juzi nikajarb NSSF shinyanga.. hawakupokea barua, nilijibiwa tu kwamba hawana hzo issue za volunteering since miaka kenda huko nyuma so nitembee na mwokozi.. sasa hapa nashangaa kuskia kuna nafasi sijui 271 kwa watu waliokua wana volunteer.. asee sisi ambao Babu zetu walikua wacheza bao tuna tabu sana😅
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
Mulika mameneja wote waliopanda kutoka senior kua meneja wakati kuna ma principle wapo na hawajapanda, na hawajawahi kua na poor perfomance, ila tu kwa kua ni kabila moja ana influence.
Ukiondoa hapo makao masalia ya Erio utabaki salama
 
Nlipeleka barua yangu na vyetu NSSF makao makuu mwaka huu mwanzon lakn kabla ya hapo ndugu yangu wa karibu akaambiwa na mtu wa nssf ya pale Boma kwamba dogo anapeleka barua hatopata.. kweli bhana nmepeleka kwa hr wa kwanza then nikaambiwa barua yangu ipo kwa hr upande wa legal department haijajibiwa.. baada ya kufanya follow up ya siku kadhaa.. nikajibiwa kwa dharau siku hyo kwamba UMEKOSA NAFASI nlijiskia hovyo sana.. sikukata tamaa juzi nikajarb NSSF shinyanga.. hawakupokea barua, nilijibiwa tu kwamba hawana hzo issue za volunteering since miaka kenda huko nyuma so nitembee na mwokozi.. sasa hapa nashangaa kuskia kuna nafasi sijui 271 kwa watu waliokua wana volunteer.. asee sisi ambao Babu zetu walikua wacheza bao tuna tabu sana😅
Tofautisha kati ya volunteer ns temporary jobs
 
Fafanua hapo kwenye udini...wakati wa Dau udini ulimaanisha upendeleo kwa waisilamu, sasa Dau hayupo udini huu ni upendeleo kwa watu wa dini ipi.....?
Mkuu Al Zagawi naamini wewe ni mtu mzima mwenye uwezo wa kuchanganua mambo. Unganisha hoja zinazotolewa humu, soma kati ya mistari utapata jibu la swali lako
 
Mi sina shida na ajira mpya kama ni za halali. Ujinga ni wa yule Erio kutoa watu ambao walikuwa wazuri sana na kuweka ma boyoyo.

Erio hakutaka challenge yoyote na ndio maana aliamini kufanya kazi na watu wake tu na anawowajua hawawezi kuhoji.

Na aliweka watu wenye average ability kwenye serious positions ili atimize malengo yake yakiwemo na upigaji.
Hii ni nchi karibu kila mtu ni mpigaji tu hakuna namna
 
Mulika mameneja wote waliopanda kutoka senior kua meneja wakati kuna ma principle wapo na hawajapanda, na hawajawahi kua na poor perfomance, ila tu kwa kua ni kabila moja ana influence.
Ukiondoa hapo makao masalia ya Erio utabaki salama
Wale walopandishwa kwa kuhonga na kutumia ukabila fyekelea mbali
 
Nlipeleka barua yangu na vyetu NSSF makao makuu mwaka huu mwanzon lakn kabla ya hapo ndugu yangu wa karibu akaambiwa na mtu wa nssf ya pale Boma kwamba dogo anapeleka barua hatopata.. kweli bhana nmepeleka kwa hr wa kwanza then nikaambiwa barua yangu ipo kwa hr upande wa legal department haijajibiwa.. baada ya kufanya follow up ya siku kadhaa.. nikajibiwa kwa dharau siku hyo kwamba UMEKOSA NAFASI nlijiskia hovyo sana.. sikukata tamaa juzi nikajarb NSSF shinyanga.. hawakupokea barua, nilijibiwa tu kwamba hawana hzo issue za volunteering since miaka kenda huko nyuma so nitembee na mwokozi.. sasa hapa nashangaa kuskia kuna nafasi sijui 271 kwa watu waliokua wana volunteer.. asee sisi ambao Babu zetu walikua wacheza bao tuna tabu sana
Siku ya jana pilika zilikua nyingi kwa hao waloajiriwa kwa contract, walikuwa wanapigiwa simu na kuelekezwa waandike barua za applications ili zikawekwe kwenye mafaili maana hawakuingia kwa kuomba bali waliitwa kindugu na kirafiki wa kimapenzi.
Ulikua ni umalaya tu ndani ya nssf enzi zs Erio
 
Hapo NSSF hakuna msafi.Chakufanya aanze na wewe kisha ndo afuate hao wengine.Wewe ni sample ya aina ya watu walioko NSSF wenye ngebe,gubu
 
Back
Top Bottom