Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Hivi ile ardhi iliyonunuliwa kwa milioni 800 kwa ekari ina manufaa gani?
Baada ya Dau mmekuja na 'miradi yenu ya Kimkakati' ya Kulima Pamba na Miwa, tupeni matokeo