Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mkurugenzi Manispaa ya Ubungo akiwa katika mkutano wa ccm Nchini, nafikiri ni muhimu watu wakajua Taifa linaelekea wapi,ni hatari sana kwa Nchi watu kuamini kuwa hawawezi kushinda uchaguzi kwa njia ya demokrasia,unafikiri huyu anaweza kumtangaza Mpinzani ?
NB: Katiba ibara ya 74(14) Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chochote cha siasa
NB: Katiba ibara ya 74(14) Itakua ni marufuku kwa watu wanaohusika na uchaguzi kujiunga na chama chochote cha siasa