Mkurugenzi Kigoma Jela miaka 22 kwa ufisadi

Mkurugenzi Kigoma Jela miaka 22 kwa ufisadi

Huyu ni DED wa 3 au 4 kufikishwa kizimbani awamu hii na wote waliiba hela awamu ya 5
Achana na mambo ya awamu.Huyo ni mtu,tena mtu mzima mwenye familia, ndugu na marafiki.Hayo mengine tuyasome/tuyaone kwenye media tu.Tutaanza ushahidi wa uongo bure.
 
W
We ni mwehu km wehu wengine, umesahau kina Mramba, na yule mchaga aliyekuwa kamishna wa TRA naye umemsahau, mchaga ht akijinyea atajisifu, sifa za kipumbavu
Wewe ni mpuuzi kwasababu hujui wizi na siasa. Kina Mramba zile zilikuwa siasa tu, kina Kamishna Kitilya ilikuwa siasa za chuki za Magufuli.
Lakini hakuna mchaga unaweza kusikia kakamatwa kizembezembe kwenye dili za ajabu ajabu zisizo na akili kama madawa au ujangili au kigushi kizembe. Wachaga wanafanya calculation kali sana kabla ya jambo.
Sasa kabila lako wewe zaidi ya ngono, uchawi na kesi za ubakaji tu
 
Back
Top Bottom