Yaani hii nchi" inamatapeli mnooo ", mbaya zaidi ni viongoziSijawah ona nchi viongozi wake hutumia danganya toto kama hapa tz. Yan hata kama jambo laonekana wazi watakacho kusemea hutaamini mpaka wajiuliza hivi wanatuchukulia sisi watoto au
Ndege inafanyiwa maintainance popote,,sasa kama kulikuw kuna mainjinia Mwanza unataka mpaka iende Dar?... Wi Fi ni mfumo wa kawaida ni kama vile kurekebisha sauti kwenye TV au Simu yako!... haijaharibika chochote!Kama ni hivi kulikuwa na sababu gani ya kutokusema tarehe fulani dreamliner itafanyiwa maintenance hivyo hawata fanya safari ?
Tusifanyane wapumbavu hapa Jk alituambia za kuambiwa changanya na zako
Kwa hiyo bila Wi-Fi ndege hairuki ?
Hivi kati ya Dar na Mwanza ni wapi kuna Hangar ya kufanyia maintenance ya ndege hii ?
hahaaa",Ukiwa chama Tawala" lazima uwe zwazwa aisee"", Mpe huyooHuu utetezi wako wa kijinga ungekuwa na maana kama abiria wangetangaziwa siku au wiki kabla kwamba ndege itakuwA inafanyiwa configuration siku fulani. Lakini ghafla ndege ikiwa kwenye safari zake hilo linatokea huoni ni tatizo zaidi ya huu utetezi wako? Unapotetea tena kwa kuweka utetezi wa kipuuzi eti wapinzani wanakaa kuombea kushindwa ni utoto wa wazi. Kuna mpinzani kaenda kuharibu huo mfumo wa WI-FI kwenye ndege?
Abiria inatakiwa wapate raha wafurahie juhudi za rais wao ndio maana wanawekewa Wi fi.....Wi-fi System ?????
Yaani mfumo wa Wireless Network unaowezesha watu Ku browse ndio usimamishe Safari za ndege ???
Aisee",huzuni wallahiNilichokion hapa wameogopa kusema tatizo halisi la ndege yetu mpya which in turn kama wangesema ingekuwa scandalous kwa ndege waliyodai mpya kupata hitilifu mapema kiasi hicho...
Hivyo basi wakaamua kutafuta katatizo cha ku-cover up (wi-fi) ili tusiendelee kuchokonoa zaidi...
Hivi kweli wi-fi ndio inasababisha kusitishwa kwa usafiri kwa abiria...??? Kweli sisi ndio wadanganyika
hahaaaa " Wonder's shall never endsNdege itoke marekani,nchi iliyo makini kabisa,WiFi ije kurekebishiwa hapa TZ
Mkuu ni matengenezo ya dharura kama mtu aliyeshikwa na tumbo la kuharisha anavyoenda chooni kwa ghaflaKwa amri kutoka juu usemeje mkuu? Matengenezo ya kawaida yalisababisha abiria kukwama KIA
Hii ndege itawaumbua sana!Hii ndege kuna watu wakisikia imeharibika watafanya sherehe....Chadema wachawi sana dah
Acha uwongo " tusingeisifia", Yaani ndege inunuliwe ndani ya miezi 2, tu then iharibike", halafu tusifie " na wakati tuliambiwa kwamba ni mpya"... watuona sisi wajinga", au ""?Hii nchi ina watu wa hovyo sana, hii ndege ingekua imenunuliwa na jirani zetu kina mungiki otyeno wa Tanzania wangesifia mpaka na kuongea wasivyo vijua. Haya matengenezo ya hiyo itirafu wangeyaita umakinifu wa mungiki lakini kwa kua ipo home kwetu basi dua zetu ni kwamba ife tu ili tusifie vya jirani.
Imani yako inakudanganya..... jambo likitokea katika negative stuation mnaongea sana why not positive issues...sote tunawajibu wa kuijenga nchi yetuKwa amri kutoka juu usemeje mkuu? Matengenezo ya kawaida yalisababisha abiria kukwama KIA
hahaaa anaitetea buku saba yakeTulia Wewe unabishana na watu wote humu
Ama kweli YAMEWASHUKA PTUUUU
Kama ujanunua kelele ya nn....acha uzandiki acheni watu wafanye kazi....kama unapoint ya kujenga tutakusiliza na siyo kuleta habar za upinzan wasio na msaada wowoteSasa hapa wapinzani ndio walioinunua hiyo ndege!? Time will tell na haya maigizo!!!
ndugu, hayo (kwenye nyekundu hapo juu) ni majukumu ya serekali yoyote duniani. ni mambo ambayo serekali inapaswa kuyatekeleza kwa 100%.Nyie watu wa ajabu kabisa, Barabara, rwli, shule, hospital,Vituo vya usafiri, usambaaaji mabomba ya maji, Ndege, Meli, vivuko, Umeme, tena kwa matumizi ya umma sio Maendeleo? Yasifanyike hadi kila mtanzania mmoja mmoja ana ghorofa na Range Rover? AU mnadhani hizi ni samani za maofisi ya serikali? Msiimbishwe nyimbo mkaitikia kama Kasuku.
hahaaaPelekeni kule ilipopelekwa MV BAGAMOYO... YAMEWASHUKA PTUUUU