the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Mwenyekiti wa mtaa wa mabibo jitegemee (CUF) anashikiliwa na polisi tokea jana na amepelekwa Segerea.
Ishu ilikuwa hivi:
1. Mabwana afya kutoka halmashauri walifika katika soko lililopo mtaani hapo kukagua usafi wa mtaa wa jitegemee na kutoza faini wakazi wa majumbani
2. Mwenyekiti aliwasihi wakazi wakubali kukaguliwa ila wakaazi waligoma wakishinikiza taka za soko zizolewe kwanza kwani halmashauri/bwana afya na wenyewe ni wachafu mno.
(Ikumbukwe halmashauri ndiyo inayokusanya ushuru sokoni hapo na inawajibika kuzoa taka soko halijazolewa taka kwa mwezi mzima)
Wakazi wakapandwa jazba na hivyo wakaguzi wakala kona. Ofisini kwa Mkurugenzi wakaguzi wakadai mwenyekiti wa mtaa aliwachochea wanainchi kupitia pazia la uani (kiujanja) hivyo Director amemshikilia toka jana na kanyima dhamana
Ishu ilikuwa hivi:
1. Mabwana afya kutoka halmashauri walifika katika soko lililopo mtaani hapo kukagua usafi wa mtaa wa jitegemee na kutoza faini wakazi wa majumbani
2. Mwenyekiti aliwasihi wakazi wakubali kukaguliwa ila wakaazi waligoma wakishinikiza taka za soko zizolewe kwanza kwani halmashauri/bwana afya na wenyewe ni wachafu mno.
(Ikumbukwe halmashauri ndiyo inayokusanya ushuru sokoni hapo na inawajibika kuzoa taka soko halijazolewa taka kwa mwezi mzima)
Wakazi wakapandwa jazba na hivyo wakaguzi wakala kona. Ofisini kwa Mkurugenzi wakaguzi wakadai mwenyekiti wa mtaa aliwachochea wanainchi kupitia pazia la uani (kiujanja) hivyo Director amemshikilia toka jana na kanyima dhamana