BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Hii safi!!
Yaani malazi na chakula siku 1 shs millioni 2?
Hii pesa sii bora ikajenga madarasa??
Kumbe hawa viongozi huzunguka mikoani kila siku kwa gharama za nani??
Hizi ziara zina manufaa gani?
Kwani Karatu ndo waliomwita Shein akatembee huko?
Labda Vingunge wetu wanakula Almasi na Dhahabu ndiyo maana mlo wao wa siku moja una gharama kubwa!!!! Kwa hiyo Chakula na Malazi ya mwezi mzima ni millioni 60!!!! Ndiyo maana visafari safari vyao haviishi!!!! Kweli Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!!!!