Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Katika pita pita zangu hususan katika kituo cha mikutano cha Aicc nilikutana na njagu wawili waliovalia kiraia .Kwa kawaida kunapokuwa na events kama mkutano ulioisha wa AFDB usalama huwekwa mbele. kwa hiyo niliona kawaida tu. Hata hivyo baada ya kusalimiana na jamaaa wakanitonya kuwa kuna mtu wanamsaka. kama kawaida nichokonoa nipate details zaidi na ndipo waknitonya eti Mkuu wa Idara ya Miradi na nyumba wa Aicc anasakwa kwa wizi wa projector screen kubwa ambayo ilikodishwa kwa ajili ya mkutano wa viongozi wa Afdb uiliokuwa unafanyika eneo maalum la nje kwenye hema.
Kuibiwa kwa screen hiyo kulilifedhehesha taifa baada ya waangalizi wa afdb kujua hilo na kulalamika kuwa screen hiyo ilikuwa maalaum sana kwa mkutano huo na kushangazwa namna ilivyotoweka.
Kaitka uchnguzi imeonekana bwana Ndosi anahusika kwani baada ya mkutano na baada ya amri ya kumsaka mwizi kutolewa Ndosi ambaye ni mkurugenzi wa Idara amekuwa suspect number one, kwa hiyo anatakiwa atiwe nguvuni na ikithibishwa ashitakiwe mahakamani.
MY TAKE. Kama vingozi wakuu wa taasisi kama hizi wanajihusihsa na udokozi wa aina hii, wanaaminiwaje? Inatia kichefu chefu , kweli magamba hayawezi kuacha wizi duh. CAG kazi kwako , mulika mwizi.
Source mm mwenyewe , unaweza kucrosscheck na RPC ARUSHA.
Kuibiwa kwa screen hiyo kulilifedhehesha taifa baada ya waangalizi wa afdb kujua hilo na kulalamika kuwa screen hiyo ilikuwa maalaum sana kwa mkutano huo na kushangazwa namna ilivyotoweka.
Kaitka uchnguzi imeonekana bwana Ndosi anahusika kwani baada ya mkutano na baada ya amri ya kumsaka mwizi kutolewa Ndosi ambaye ni mkurugenzi wa Idara amekuwa suspect number one, kwa hiyo anatakiwa atiwe nguvuni na ikithibishwa ashitakiwe mahakamani.
MY TAKE. Kama vingozi wakuu wa taasisi kama hizi wanajihusihsa na udokozi wa aina hii, wanaaminiwaje? Inatia kichefu chefu , kweli magamba hayawezi kuacha wizi duh. CAG kazi kwako , mulika mwizi.
Source mm mwenyewe , unaweza kucrosscheck na RPC ARUSHA.