Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Maneno haya yamesemwa na mbunge wa Sikonge Mh Saidi Mkumba wakati akianza kuchangia. Na katika hali ya kushangaza Mh Mbatia alipo omba muongozo Mh Ndugai alisema kuwa mh mkumba yuko sahihi kwa kauli yake na haina tatizo.
My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.
My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.