Mkulu kama kweli wataka kulinda rasimali za nchi tupe katiba mpya

tusionacho

JF-Expert Member
Nov 23, 2016
274
514
Rasimu ya pili ya katiba ya Warioba ilipendekeza ili kudhibiti uingiaji mikataba mibovu kabla ya kusaini mikataba inabidi ikajadiliwe bungeni, ili kuiponya nchi kwa muda mrefu hata usipokuwepo madarakani tupate katiba itakayobana mafisadi wezi na wala rushwa rudisha mchato tuanzie pale kwenye rasimu ya pili ili uonyesha unapenda nchi kwa kubadili mfumo vinginevyo tutaishia kwenye siasa za matukio tu.
 
Kama kweli wana uchungu na hii nchi,tiba ya matatizo yoooote hata yaliyoongelewa leo ya madini ni katiba mpya tuuu.bila katiba mpya tutaendelea kupigwa kila idara.sasa kipimo hiki kwa wanaccm,kama kweli mna uchungu sana na rasilimali za nchi hii basi leteni katiba mpya
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Warioba ilipendekeza ili kudhibiti uingiaji mikataba mibovu kabla ya kusaini mikataba inabidi ikajadiliwe bungeni, ili kuiponya nchi kwa muda mrefu hata usipokuwepo madarakani tupate katiba itakayobana mafisadi wezi na wala rushwa rudisha mchato tuanzie pale kwenye rasimu ya pili ili uonyesha unapenda nchi kwa kubadili mfumo vinginevyo tutaishia kwenye siasa za matukio tu.
unahamisha magoli sasa.
Katiba mpya sio kipaumbele kwa sasa.Nafasi mlipewa mkaipoteza
 
Huyo Sizonje anataka Tilioni 100+ wakati net worth ya Accacia ni Tilioni 9+. Tukisema wanakurupuka wanakasirika
Ukiona mkuu wa nchi anaingia kwenye deal fikiria mara mbili.
 
unahamisha magoli sasa.
Katiba mpya sio kipaumbele kwa sasa.Nafasi mlipewa mkaipoteza
CCM ndio walivuruga mchakato ndio maana leo rais kasema waliosababisha hili wachunguzwe badala ya kusema wakamatwe wafikishwe mahakaman hii inatokana na ubovu wa katiba ndio maana Chenge huwa anatucheka tu
 
Back
Top Bottom