chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Za nini tena?Milioni saba zinakuwasha
fwaini ya saibakiraimuZa nini tena?
HajaribiwiZa nini tena?
Za nini tena?
Safi sana mkuu, nilimtembelea ila sikuonana naye alikuwa amewaacha mabinti kwenye banda lake. Ila nawasiliana naye vyema. Kiukweli ni kwamba vifungashio inabidi viwe final baada ya kukamilisha taratibu zote ikiwemo na kutest soko la product.Uliwasiliana na yule mtu wa Rosela niliyekupa namba zake?
Safi sana mkuu, nilimtembelea ila sikuonana naye alikuwa amewaacha mabinti kwenye banda lake. Ila nawasiliana naye vyema. Kiukweli ni kwamba vifungashio inabidi viwe final baada ya kukamilisha taratibu zote ikiwemo na kutest soko la product.
ndo nini hiyo mkuu?fwaini ya saibakiraimu
mi niko Mwanza mbona brohaya karibu Mwanza
mi niko Mwanza mbona bro
Hahaaa wote wapo blunt na ego kubwa...watu kama hao hawakai pamoja, wote wana viburiMfano hawa wawili wanakutana...(am just thinkin' aloud)