Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Ingawa sina hakika kama ndio ile wanavyosema 'sitaki nataka', waziri wa fedha Mustafa Mkulo amesema wizara yake haiko tayari kutoa hela kwa ajili ya malipo kwa Dowans, wakati ambapo Jaji Werema ameonekana kukubali nyuma ya mgongo aliposema 'kama mahakama ipepitisha, basi hilo ni swala la kisheria'. Kwa mtazamo wa Mkulo hilo deni ni la TANESCO, wizara yake haihusiki kwa lolote kwa hauikuhusishwa wakati wa kusaini mkata na wala hata kopi ya uamuzi wa mahakama bado hajaipta.
Mimi nasema bravo Mkulo! Lakini pia utwambie TANESCO wao watatoa wapi hiyo hela.
Nawasilisha........
Mimi nasema bravo Mkulo! Lakini pia utwambie TANESCO wao watatoa wapi hiyo hela.
Nawasilisha........