Mkulo ajitetea, akana kumuuzia Mohamed Ent Kiwanja, amrushia kombora Mkurugenzi CHC

Mkuu, huyu jamaa asizengue raia pamoja na JK, kama angekuwa na ufatiliaji wa karibu katika wizara yake mambo haya yasingetokea. kitendo cha board kudhalau maelekezo yake speaks VOLUME - walimjua si mfatiliaji, jamani tukumbuke jamaa hawa wana mbinu nyingi sana za kujenga hoja hili ionekana awahusiki.

Wenzetu Ulaya wizara inapopata msukosoko hata kama waziri hausiki anabwaga manyanga kama ishara ya kuwajibika, it is high time we emulated THEM. Wahusika walio tajwa wasitupotezee muda kwa kuleta utetezi husiyo na tija hapa; mambo ya Mohammed enterprise is a tip of an iceberg, je tukija katika misamaha ya kiolela ya kodi tutapata ufafanuzi gani?
 
Too late...taarifa hii ingekuwa useful kama mngewapa kamati ya bunge ili waifanyie kazi kwenye majumuisho yao, sasa mnaitoa sasa ili iweje?
 
Hii taarifa ya wizara ya Fedha inasikitisha, kwanza inaelekea hata hawaelewi hoja wao wako na POAC tu! Kwa kifupi wamekurupuka, maana ripoti ya POAC haijazungumzia uuzwaji wa hiki kiwanja hata seheMu moja, bali ni special audit ya CAG kwenye shirika la CHC, kwa maana hiyo wanasema CAG ni muongo?

Swali dogo tu la kujiuliza ni kwanini Mkulo alipoitwa na CAG kuhojiwa juu ya jambo hili wakati uchunguzi unaendelea alisema 'hana muda'? Halafu leo ndio kapata muda wa kujitetea? Too late baba


Hakuna waziri aliye na jeuri kama Mkullo na hii mimi binafsi huiambatanisha jeuri hii na mgawo wa pasu wanaopeana na Mkullu wa kaya (Mungu anisamehe kama naongopa), Hebu vuteni taaswira ya jeuri ya Mramba wakati ule Bungeni anawaaambia watanzania kuwa watakula majani, kumbe ndani ya uvungu ameshamuuzia Mkapa Kiwira,

Kwa tabia yao/yake siamini kama (Mmalawi by blood) huyu Mkullo atatemwa kwani kuna hidden binding agent ambayo inampa jeuri yote tunayoiona
 
...kwa nini wauze ardhi kwa muhindi?
Mkuu Bongolala, usilale!, amka na kuwa Bongoamka kwa kutoleta ubaguzi wa rangi!.

Kweli Dewji ni Mhindi lakini kazaliwa Singida!. Hoja isiwe kwanini kauziwa Mhindi, hoja ibaki kuwa jee sheria, taratibu na kanuni zilifuatwa?!.

Tukianza kuangalia rangi, tutakuta asilimia 90 ya wamiliki wa viwanja vyote prime areas ni Wahindi. Waliojenga hayo maghorofa yote ni Wahindi. Walikuja nchini kama makuli wa ujenzi wa reli ya kati. Fedha zao wakajengea wakati wamatumbi wao waliolea na kuporomosha yale mapara manne na mbavu za mbwa!.

Mpaka leo wenzetu ndio wanaoishi kule maghorofani huku wakimiliki asilimia 90 ya biashara za maana na faida wakijinunulia magari mazuri na kuponda raha huku sisi wamatumbi tukishinda bar na kubadili gesti huku tukiendelea kulalamika na kunung'unikia umasikini ambao tunauendekeza wenyewe!.

Waacheni wahindi wale maisha kwa raha zao, tusiwabague kwa uhindi wao bali tujifunze ujanja wao. Wenzetu wanaojifunza kwao wanatoka!. Mfano ni Uda inamilikiwa na Kisena mwenzetu!,
 
Raisi ana mamlaka ya kutengua hati. Kwani wanataka kutuambia any sale ya PSRSC serikali chini ya wizara ya fedha ilihusika, ni kwa nini wanalalama kuwa sera ya ubinafsishajiilikuwa chema ila watekelezaji (Wizara ya Fedha) walikuwa wabovu. Je ni nani anayetunga hizi sera kama si wizara ya fedha. Kuna haja ya kufikiri kabla ya kukurupuka, i think ni vema wakatoa ufafanuzi wa viwanja na all companies sold if the Minitry was involved?.
 
Too low kwa mtu kama katibu mkuu tena wa wizara nyeti ya fedha kutoa utetezi dhaifu kiasi hiki. Amemuaibisha aliyemteua na utetezi wake unaacha maswali mengi kuliko majibu. Hii ndio tabia ya utetezi wa kupanga, yaani kila unapojaribu kujinasua ndio unanasa zaidi. Ameshindwaje kuainisha hatua za ziada alizochukua baada ya kuona maagizo yoke hayajatekelezwa na yeye akiwa ndo accounting officer?. Simply they have to go!
 
Utetezi usio na mashiko, kwani si huyo Mkulo aliyemwandikia CAG waraka baada ya kupigiwa simu kumtaarifu kuwapeleka wakaguzi kumhoji, kuwa HAJAWAHI KUSIKIA SUALA KAMA HILO NA "...ANASHUSHUKURU KWA KUPATA TAARIFA HIZI NYETI KWA MARA YA KWANZA". Hoo leo, niliwapa maelezo hawakurudi kutoa feedback, shame! Nyaraka zote si CAG kaziona, papara za nini? Someni ripoti yote iko kwa mtandao wa CAG. What about kashfa ya SSSS ambayo Mkulo na huyo Katibu Mkuu wake wamechota pamoja! La kuvunda hilo ....!!
 
Mkuu Bongolala, usilale!, amka na kuwa Bongoamka kwa kutoleta ubaguzi wa rangi!.

Kweli Dewji ni Mhindi lakini kazaliwa Singida!. Hoja isiwe kwanini kauziwa Mhindi, hoja ibaki kuwa jee sheria, taratibu na kanuni zilifuatwa?!.

Tukianza kuangalia rangi, tutakuta asilimia 90 ya wamiliki wa viwanja vyote prime areas ni Wahindi. Waliojenga hayo maghorofa yote ni Wahindi. Walikuja nchini kama makuli wa ujenzi wa reli ya kati. Fedha zao wakajengea wakati wamatumbi wao waliolea na kuporomosha yale mapara manne na mbavu za mbwa!.

Mpaka leo wenzetu ndio wanaoishi kule maghorofani huku wakimiliki asilimia 90 ya biashara za maana na faida wakijinunulia magari mazuri na kuponda raha huku sisi wamatumbi tukishinda bar na kubadili gesti huku tukiendelea kulalamika na kunung'unikia umasikini ambao tunauendekeza wenyewe!.

Waacheni wahindi wale maisha kwa raha zao, tusiwabague kwa uhindi wao bali tujifunze ujanja wao. Wenzetu wanaojifunza kwao wanatoka!. Mfano ni Uda inamilikiwa na Kisena mwenzetu!,

Mkuu Pasco hili suala la ubaguzi linachochewa na Serikali yenyewe ambayo iko madarakani.. Sio siri Wahindi wengi ndo wanajihusisha na rushwa kubwa kubwa hapa nchini..! Na Wahindi wengi wana passport zaidi ya moja.. Na wengi wao wanachuma hapa na kuwekeza nje ya nchi.. Hawashiriki shughuli zozote za kitaifa.. Na Serikali inaliona hili na watendaji wake wanawasaidia kwa hili..Yuko wapi yule mhindi aliefanikisha ufisadi wa radar..? Alikamatwa hapa na akaachiwa ili atoroke..! Kwa haya unategemea Wananchi wataacha kuwa na hulka za kibaguzi dhidi yao..?
 
Hivyo si nilisikia kamfidia Mbunge wa zamani wa Mvomelo Sadik Billion moja kwa kukosa kuuziwa kiwanja alichoomba auziwe na Serkali au ilikuwa uzushi? Hili nalo haliwezi kutolewa maelezo au kukanushwa?
 
Hii taarifa ya wizara ya Fedha inasikitisha, kwanza inaelekea hata hawaelewi hoja wao wako na POAC tu! Kwa kifupi wamekurupuka, maana ripoti ya POAC haijazungumzia uuzwaji wa hiki kiwanja hata seheMu moja, bali ni special audit ya CAG kwenye shirika la CHC, kwa maana hiyo wanasema CAG ni muongo?

Swali dogo tu la kujiuliza ni kwanini Mkulo alipoitwa na CAG kuhojiwa juu ya jambo hili wakati uchunguzi unaendelea alisema 'hana muda'? Halafu leo ndio kapata muda wa kujitetea? Too late baba
Ndugu zangu nchi inatafunwa nchana kweupe na watu wakuja tu. huyu jamaa alikwepa kujibu hoja kwenye special audit kisha anakuja na blah blah walikuwa wapi siku zote tangu special audit ianze hadi kumalizika. Yaani kweli adui namba moja wa wabongo ni CCM - Chama Cha Majambazi tuliowapa ridhaa ya kutunza mali zetu. Jamaa wanadhani bado wanainji wa injii hii ni wale wa miaka ile ya zidumu fikra... Mmh kweli inasikitisha Prof Mzima kudanganya wadanganyika nchana kweupe
 
Does it Help or change anything?wasting of time and peoples Money kukanusha ukweli kwanini hayo maelezo hawakutoa kwenye Kamati?Shame on you!Ur always Reactive and not Proactive!

Mfa maji huwa siku zote haachi kutapatapa kama MKULO
 
Mkuu Bongolala, usilale!, amka na kuwa Bongoamka kwa kutoleta ubaguzi wa rangi!.

Kweli Dewji ni Mhindi lakini kazaliwa Singida!. Hoja isiwe kwanini kauziwa Mhindi, hoja ibaki kuwa jee sheria, taratibu na kanuni zilifuatwa?!.

Tukianza kuangalia rangi, tutakuta asilimia 90 ya wamiliki wa viwanja vyote prime areas ni Wahindi. Waliojenga hayo maghorofa yote ni Wahindi. Walikuja nchini kama makuli wa ujenzi wa reli ya kati. Fedha zao wakajengea wakati wamatumbi wao waliolea na kuporomosha yale mapara manne na mbavu za mbwa!.

Mpaka leo wenzetu ndio wanaoishi kule maghorofani huku wakimiliki asilimia 90 ya biashara za maana na faida wakijinunulia magari mazuri na kuponda raha huku sisi wamatumbi tukishinda bar na kubadili gesti huku tukiendelea kulalamika na kunung'unikia umasikini ambao tunauendekeza wenyewe!.

Waacheni wahindi wale maisha kwa raha zao, tusiwabague kwa uhindi wao bali tujifunze ujanja wao. Wenzetu wanaojifunza kwao wanatoka!. Mfano ni Uda inamilikiwa na Kisena mwenzetu!,

kote uko sahihi, isipokuwa hapo kwenye RED tu
 
Back
Top Bottom