MKULIMA VIAZI ,MAHINDI,MAHARAGE;MBEYA

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Mar 10, 2014
723
544
wakuu habar zenu....mimi ni kijana niliye katika harakati za kupambana na ugumu wa maisha, naamini kabla ya kufanya jambo si vibaya kupitia mafunzo....basi kama ww ni mkulima au mfanya bishara wa mahindi,maharage na viazi mviringo , na unaishi Mbeya, naomba ushirikiano wako..nia na madhumuni yangu ni kujifunza kabla ya kuanza..nataka kujifunza kutoka kwa mzowefu.Wakuu naombeni msaada wenu/
shukran.
 
karibu mkuu,,nipo mbeya nililima kiazi nilitoa mwezi wa 7 mavun hayakua mazuri sana sababu mvua iliwai kukatika na nilichelewa kupanda

mara ya mwisho kulima mahindi ni miaka 3 iliyopita mavuno yalikua vizuri tu

mara ya mwisho kulima maharage ilikua mwaka jana..lakn nililmia njombe,,mavuno yalikua vizuri sana

najipanga tena kulima viazi,,mahindi na mpunga
karibu kwa maswali zaidi
 
karibu mkuu,,nipo mbeya nililima kiazi nilitoa mwezi wa 7 mavun hayakua mazuri sana sababu mvua iliwai kukatika na nilichelewa kupanda

mara ya mwisho kulima mahindi ni miaka 3 iliyopita mavuno yalikua vizuri tu

mara ya mwisho kulima maharage ilikua mwaka jana..lakn nililmia njombe,,mavuno yalikua vizuri sana

najipanga tena kulima viazi,,mahindi na mpunga
karibu kwa maswali zaidi
vp mkuu kuhusu swala kununua kutoka kwa mkulima na kuuza kwenda dar ?
 
Back
Top Bottom