huyu mkuchika anaongea kiupambe tu shauri ya njaa.hata hao aliowashawishi wakahamia ccm hawana loloe\te njaa tu kama Hiza tambwe,wanadai ccm ina sera nzuri mbona hatuzioni zaidi ya wizi mtupu,wameshindwa wanachotaka sasa ni kuleta vita.washindwe na walegeeeee