johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,735
- 141,596
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!