Mkuchika ni Waziri Kazi Maalum, hii ilikuwepo pia enzi za Mwalimu Nyerere

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,735
141,596
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri " kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani Jafo kapelekwa wapi? Maana Madam President amesema hajamwacha mtu!
 
Wakati wa Mwalimu Nyerere kulikuwa na Waziri asiye na wizara maalumu na mara nyingi hapa aliwekwa Mzee Kawawa

Hongera mh Mkuchika wewe sasa utakuwa Waziri "kiraka"

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kamstahi masna kaishazeeka
 
Huyu mzee si walisema amekata moto, anywy yule mzee anamatch na kila kizazi.
 
Back
Top Bottom