Mimi ningependa kuuliza kwa Wah. Mawaziri Mkuchika na Mhagama hivi hii hali inayoendelea kwa watumishi wa umma nyie mnaiona sawa? Iwapo juhudi za mheshimiwa Rais zinaonekana mbona zenu hatuzioni? sisemi mengi kwa Mh Jafo kila mtu anaona matunda.
Nashangaa sasa yapata miaka minne wafanyakazi utafikiri mligombana nao. Wengi kila kukicha ni vilio mioyoni mwao hakuna kupanda madaraja, vyeo, watu wanakaimu zaidi ya 4 years what a pity?
Mtu anastaafu kwa cheo ambacho hakustahili hata ILO sidhani kama wanasapport hili, mimi sioni kama haki inatendeka sijui wenzangu wanalionaje hili.
Nyie kutwa mnazunguka nchi nzima lakini hatuoni mabadiliko Ma HROwa wizara mbalimbali mbona muda mrefu tu washawasilisha status za wafanyakazi hivi hazifiki au hamuzioni?
Wizara ya maji, afya, kazi na nyinginezo kuna watumishi kibao wana kilio hiki. Basi ni bora likawekwa wazi suala hili kulikokuishi kwa mategemeo ya ahadi zisizotekelezeka.
Nashangaa sasa yapata miaka minne wafanyakazi utafikiri mligombana nao. Wengi kila kukicha ni vilio mioyoni mwao hakuna kupanda madaraja, vyeo, watu wanakaimu zaidi ya 4 years what a pity?
Mtu anastaafu kwa cheo ambacho hakustahili hata ILO sidhani kama wanasapport hili, mimi sioni kama haki inatendeka sijui wenzangu wanalionaje hili.
Nyie kutwa mnazunguka nchi nzima lakini hatuoni mabadiliko Ma HROwa wizara mbalimbali mbona muda mrefu tu washawasilisha status za wafanyakazi hivi hazifiki au hamuzioni?
Wizara ya maji, afya, kazi na nyinginezo kuna watumishi kibao wana kilio hiki. Basi ni bora likawekwa wazi suala hili kulikokuishi kwa mategemeo ya ahadi zisizotekelezeka.