Mkuchika apiga marufuku viongozi wa Serikali kuwatengua watu ambao hawakuwateua

Ma-DC na Ma-RC wanaweka watu ndani kwa mujibu wa sheria na sheria hiyo waziri Mkuchika anaijua , iweje atoe agizo la kuzuia wasitende kazi kwa mujibu wa sheria? Acha upotoshaji na sema ukweli uliosemwa na Mkuchika
Anachemka.Mtu kama anaboronga na we ni mamlaka utamuacha tu. Hujui kama akiharibu yeye atakayejibu ni wewe?
 
Kama alisema hiki ulichosema hapa, kwa Nini mwanzo ulipotosha alisema watu wasiwekwe ndani? Ulitakiwa ku-specify na si ku-generalise kama ulivyofanya.
Ye ndio kakurupuka. Au kajichanganya na hii taarifa. Hapa hata mimi sijamuelewa kama anazungumzia watu kuwekwa ndani au kutenguliwa.
 
Acha ujinga wewe, usijifanye mjuaji, sikujibu tena! Endelea na ujinga wako maana hata sielewi unachobisha ni kitu gani
nimepoteza muda kujadiliana na BAVICHA pingapinga, kwenye masuala nyeti ya kitaifa bora muwe mnakaa pembeni maana kwa akili yako ni ngumu sana nchi yetu kuendelea.

Bora niseme umeshinda na Mkuchika alisema ulichosema maana mabishano na BAVICHA huwa hayajengi
 
kauli ya mkuchika ni hii na aliitoa kauli hii 19/02/2019 bungeni
“Mkuu wa mkoa amepewa saa 48 za kumuweka mtu ndani lakini nachotaka kusema sio lazima wewe umuweke ndani, tuache kujifanya mwamba na naomba msiniharibie mambo mimi ndio Waziri wa Utawala bora”. narudia tena uache upotoshaji, hakuna anayetaka kubishana na wewe.
Hakuna anayesema hakuna sheria ya kumuweka ndani mtu, alichoonya waziri ni matumizi mabaya ya hiyo sheria. Lakini hawajamsikiliza bado wanaendelea kufanya hivyo hivyo. Take it or leave it
 
Pengine akikusikia wewe atakuelewa, Mimi nimepigizana nae kelele tangu jana
Hakuna anayesema hakuna sheria ya kumuweka ndani mtu, alichoonya waziri ni matumizi mabaya ya hiyo sheria. Lakini hawajamsikiliza bado wanaendelea kufanya hivyo hivyo. Take it or leave it
 
Hakuna anayesema hakuna sheria ya kumuweka ndani mtu, alichoonya waziri ni matumizi mabaya ya hiyo sheria. Lakini hawajamsikiliza bado wanaendelea kufanya hivyo hivyo. Take it or leave it
Tulishawahi kuwauliza ma-DC na ma-RC yeye anaitafsirije sheria ya kuweka watu ndani? Sheria inasema unaweza kuwekwa ndani kama RC au DC ataona una viashiria vya uvunjifu wa amani katika maneno na matendo yako. Kama ni hivi, ni viashiria vipi hivyo? Je, si sahihi RC akikiona kiashiria hicho kwako akuweke ndani? Je, kazuiwa kutumia kiashiria chochote ndani ya ufahamu wake? Ndio maana nimesema , busara na hekima itumike kwa sababu sheria imempa mamlaka makubwa sana RC na DC.

Na waziri Mkuchika na serikali kama wanaona sheria hiyo ni kandamizi au inaonea mtu kwa namna moja au nyingine wa wairekebishe au waifute.
 
Mbona kama vile umepaniki? Si utafute uweke humu? Malumbano ya nini? Mkuchika alisema na alinukuu sharia, kuwa MTU anawekwa ndani tu pale inapothibitika kuwa akiachwa uraiani ataleta madhara au tuseme atahatarisha usalama, sasa wewe nambie, yule Dogo wa Arusha ambaye alikiri kuwaweka ndani maofisa wake hasa Walimu na watendaji pasi kuwasikiliza walisababisha uvunjifu gani wa amani? Usijibu kwa kukurupuka na usitetee ujinga
Anatetea ujinga huyo.
 
Ma-DC na Ma-RC wanaweka watu ndani kwa mujibu wa sheria na sheria hiyo waziri Mkuchika anaijua , iweje atoe agizo la kuzuia wasitende kazi kwa mujibu wa sheria? Acha upotoshaji na sema ukweli uliosemwa na Mkuchika
Kwa mujibu wa mkuchika ili RC au DC amuweke mtu ndani ni lazima ahakikishe sababu alizo nazo zinatosheleza kumfikisha mtu huyo mahakamani

Kwamba wakati huo aliotoa agizo la muhusika kuwekwa ndani hapo karibu kusiwep na ofisa yeyote wa Polisi ambaye kama angekuwepo DC,Rc wasingepata nafasi ya kutoa agizo hilo kwa kuwa maafisa hao wangeona hatari iliyopo na kuidhibiti kabla ya kupewa agizo

Mwisho inatakiwa yeyote anayewekwa ndani kwa amri ya viongozi hao basi ni lazima wafikishwe mahakamani kwani kutowafikisha kunaweza kukawageukia watoa amri juu ya kutumia madaraka yao vibaya
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuzuia barua za watumishi kufika eneo linalohusika na kwamba hata kama inakwenda kwake ni lazima iachwe na imfikie.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika

Waziri Mkuchika ameyasema hayo leo Desemba 6, 2019, Jijini Dodoma, ikiwa ni kuelekea kwa Siku ya Maadili na Haki za Binadamu, ambapo amesema baadhi ya wakuu wa idara wamekuwa ni chanzo cha uvunjifu wa haki za binadamu hivyo lazima wabadilike vichwani mwao.

Aidha Mkuchika amewaonya viongozi wanaowafukuza kazi watu ambao hawajawateuwa na hawana mamlaka nao kwani kwakufanya hivyo ni ukiukaji wa Haki za Binadamu.
Waziri huyu maagizo yake hayatekelezeki,walio chini yake wanayapuuza,kwa mfano agizo la ķutowaweka ndani watumishi wa Umma, RC na DC bado wanawaweka
 
Tulishawahi kuwauliza ma-DC na ma-RC yeye anaitafsirije sheria ya kuweka watu ndani? Sheria inasema unaweza kuwekwa ndani kama RC au DC ataona una viashiria vya uvunjifu wa amani katika maneno na matendo yako. Kama ni hivi, ni viashiria vipi hivyo? Je, si sahihi RC akikiona kiashiria hicho kwako akuweke ndani? Je, kazuiwa kutumia kiashiria chochote ndani ya ufahamu wake? Ndio maana nimesema , busara na hekima itumike kwa sababu sheria imempa mamlaka makubwa sana RC na DC.

Na waziri Mkuchika na serikali kama wanaona sheria hiyo ni kandamizi au inaonea mtu kwa namna moja au nyingine wa wairekebishe au waifute.

Sheria nyingi sana zinataka busara kuwa executed sawasawa, hii ni moja ya sheria za kipumbavu kabisa tulizonazo. Kwanini hawafuti, hilo ni la kwao lakini ukisikiliza vizuri maelezo aliyotota Mkuchika, DC au RC akishatumia hii sheria, huyo aliyewekwa ndani anatakiwa kufikishwa mahakamani. Hilo alitokei, kuna shida hapa. Na kama hawa watu hawataki kumsikiliza waziri wao, hata hili pia watazingua tu.

Huu ndio utawala lawless kuwahi kutokea Tanzania
 
Back
Top Bottom