Mkubwa fella ambaye ni mmoja wa manager wa diamond ameulizwa swali wakati akifanyiwa mahojiano na bongo5 akaulizwa mkialikwa mfanye show ya fiesta mtaenda mkubwa fella akamjibu mwandishi " si tunaweza kufanya show yoyote hapa nyumbani hata iwe fiesta Wala hatuna tatizo Kama tutakubaliana mpunga tofauti na hapo hatufanyi show" akaongezea pia
Tumefika hapa tulipo cos tunaheshimu maslahi yetu Kama WCB na tunajua thamani ya msanii wetu hatuwezi kufanya show chini ya kiwango alichoweka msanii wetu diamond.
Tumefika hapa tulipo cos tunaheshimu maslahi yetu Kama WCB na tunajua thamani ya msanii wetu hatuwezi kufanya show chini ya kiwango alichoweka msanii wetu diamond.