Blessingmore
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 371
- 379
Ipo siku!Hao watu ndio walivyo hivyo, dereva anaendesha basi kutoka Dar mpaka Mwanza hata hawamwambii asante, bali wanamshukuru Yesu kwa kufika salama, kama Yesu alijua kuendesha gari vile.
Ipo siku!Hao watu ndio walivyo hivyo, dereva anaendesha basi kutoka Dar mpaka Mwanza hata hawamwambii asante, bali wanamshukuru Yesu kwa kufika salama, kama Yesu alijua kuendesha gari vile.
Milele AminaTumsifu Yesu kristu
Hamna mkuu hii ni kambi, wanachukuliwa vijana wanaendelezwa vipaji vyao (Kumbuka wengi huwa wanachukuliwa kutokea familia masikini au mikoani) akiwa msanii mkubwa atapata show nyingi na pesa hivyo kumuwezesha kujenga nyumba anayoitaka. Sema madogo huwa wanakuja hawana kitu, wakiwa mastaa wanaendekeza starehe nakujikuta kuhisi wananyonywa.Hata mi sijapenda hiyo saresare maua.
Utadhani nyumba za kota...
Halafu sasa haya makundi huja kuvunjika. Likivunjika hilo kundi sijui ndo itakuwaje..
Ila kwa ujumla wake ni jambo jema.
Jina la bwana libarikiwe sanaMilele Amina
Hata mi sijapenda hiyo saresare maua.
Utadhani nyumba za kota...
Halafu sasa haya makundi huja kuvunjika. Likivunjika hilo kundi sijui ndo itakuwaje..
Ila kwa ujumla wake ni jambo jema.
Well saidNi nguvu zao ila nadhani anawasaidia kuwa manage kwa kuwekeza vipato vyao mahala sahihi akiwapa mapato yote watawekeza kwa wema, wolper na kwenye heineken.
Hata wa kishuka walau watakuwa na pakujihifadhi nahisi aslay hii itakuwa nyumba yake ya pili.
Ni nyumba jamani,ndio maana kasema hata wakija kupata wake zao wataishi hukohuko ila kwa ndani kuna vimilango vidogo kama wakitaka kusalimianaKumbe kambi sio kwamba ni nyumba zao
ZaoHzo nyumba ni za hao watoto au za huyo mzee
Na hawa walianza kabla ya yamotoibarikiwe meneja
hivi ruge barnaba,dito vumilia linah na wale wa tht wengine wana nyumba?
Afute uzi? Tuambie wasema hayo kwa mamlaka ya nani?Mtu asiye na jazba anisaidie anieleweshe, kwa nn kawajengea sehem moja? Je wanaruhusiwa kutumia nyumba hizo kama vitega uchumi? Ningependa kujua , nani ana hati miliki ya nyumba hizo? Kama huna jibu then futa huo uzi ukapate majibu coz ukishaleta hapa umelikoroga utalinywea tu! Vp akiamua kutoka kwenye kundi leo,?